MAMA KANUMBA AONGOZA IBADA FUPI MAKABURINI
Katika hafla hiyo fupi, mama Kanumba akiwa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu, waliwasha mishumaa baada ya kufanya usafi wa eneo la kaburi lake, kumkumbuka nyota huyo aliyefariki Aprili 7 mwaka 2012.
Post a Comment