Jibu la Wiz Khalifa kuhusu kurudiana na Amber Rose
Baada ya shabiki kumshauri Wiz Khalifa kurudiana na
mke wake Amber Rose, Wiz Khalifa ametoa majibu makali twitter kuhusu
ushauri huo.
Wiz anaonekana kuridhishwa na hali ya
kuwa anakwenda kumuona mtoto wake mara kwa mara na maisha yake yanaenda
powa, Wiz na Amber ni wazazi wa mtoto wa kiume Sebastian Taylor Thomaz.
September 2014 Amber aliomba talaka
sababu ikiwa ni sababu za siri ya ndani na utofauti wao, alilipwa dola
milioni moja na Wiz Khalifa.
Shabiki > Rudiana na mke wako Wiz
Wiz Khalifa > Hapana , ila asante.
Post a Comment