ad

ad

TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA



 
Mwili wa mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa hoteli na klabu ya AQ baada ya ajali.
 
Basi la Mrindoko Trans baada ya ajali hiyo.


 

Mwanamke aliyepoteza maisha katika ajali hiyo enzi za uhai wake.

 
Gari dogo lililogongana na basi.
AJALI mbaya iliyolihusisha basi la Mrindoko Trans na gari dogo lililokuwa linaendeshwa na mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa Hoteli na Klabu ya AQ iliyopo jirani na stendi ya mabasi jijini Arusha ilitokea jana jioni maeneo ya Kikatiti mkoani Arusha.
Katika ajali hiyo, mwanamke huyo alifariki dunia papo hapo.

No comments

Powered by Blogger.