ad

ad

RATIBA YA MECHI ZA LEO LIGI KUU TANZANIA BARA

Ni siku nyingine tena ya jumamosi ya tarehe 17 ya mwezi wa 1 mwaka 2015, viwanja mbalimbali Nchini Tanzania vinatarajiwa kuwaka moto katika muendelezo wa ligi kuu ya Tanzania bara. Huku Timu za Simba, Yanga, Mtibwa pamoja na Azam zinatarajiwa kujitupa katika mechi zao za kwanza tangia kuisha kwa michuano ya kombe la mapinduzi kisiwani Zanzibar ambapo Simba ilitwaa taji hilo dhidi ya Mtibwa suksri ya Manungu Turiani.
Ratiba kamili ya mechi za leo ni hii

No comments

Powered by Blogger.