ad

ad

KATUNI YA SIKU: CHEKA UONGEZE AFYA

 
Kama wewe ni mpenzi wa katuni Mambo Karudi anakukaribisha kutembelea blog yake hapa mambokarudi mwanzo mwisho ni kucheka tu! 

SIKU NYINGINE ANGALIA VIZURI BWANA..!

JUMA: Aisee mcharo mkeo yuko tabata Guest House na rafiki yako, kimbia upesi uwawahi…..Haraka sana mcharo kaacha shughuli zote na kukimbilia gesti. Dakika kumi baadae akarudi na hasira;

MCHARO: Hivi we Juma mbona muongo hivi, yule jamaa wala sio rafiki yangu, nimeumbuka kumsumbua mtu wa watu bure shauri yako wewe. Siku nyingine angalia vizuri bwana..!

No comments

Powered by Blogger.