KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA - 01 na 02
“Mke wangu, kila siku namwona huyu kijana mchafuchafu anakuja kuokota chupa tupu hapa, ina maana tuna chupa tupu kila siku?”
“Siyo hivyo mume wangu, we hujamfuatilia tu, anakuja kila baada ya siku tano. Tumsaidie mume wangu, si unamwona kijana mwenyewe maskini huyu,” alisema mama Joy huku macho yake yote yakimwangalia yule kijana mwokota makopo…
“Awe anakuja mchana basi, usiku kama huu hapa nje, mimi naweza kumchapa risasi nikidhani mwizi. Si unaona hata mavazi yake? Kwanza haogi huyu, hata harufu anatoa
“Mume wangu usimkufuru Mungu, sisi kupewa uwezo ni matakwa yake, hakuna binadamu ambaye akipewa nafasi ya kuchagua maisha bora na duni, atasema anataka duni.”
“Mimi sijafika huko, ila nasema awe anakuja mchana tu si usiku kama huu.”
“Sawa mume wangu,” alisema mama.
Hayo yalitendeka wakati baba Joy akiegesha gari mahali pake kisha akashuka na kuanza kutembea mkononi ameshika brifkesi yake.
Siku hiyo, baba Joy alikuwa kama amevaa Kinaijeria f’lani.
Mama Joy alimpokesa mumewe brifkesi kisha akamwacha apite ili yeye amfuate kwa nyuma. Wakati mumewe anaingia, mama Joy aligeuka kumwangalia mwokota chupa tupu ambaye kwa muda huo alikuwa amebeba fukp la ‘salfeti’ begani.
Mama Joy alimwonesgha ishara kwamba aondoke haraka sana kwa vile mumewe amerudi. Kijana wa watu, alitoka getini kwa kuruhusiwa na mlinzi.
“Unasikia mama Joy,” baba Joy alianza kusema tena akiwa amekaa kwenye sofa kubwa…
“Abee…”
“Mimi sipendi watu wawe wanaingiaingia humu ndani hovyo. Tena nadhani iko haja ya sehemu ya kutupia taka niijenge nje ili watu wasipate sababu ya kuingia ndani…
“Wewe kijana mchafuchafu vile, si lazima pia atakuwa mwizi..?”
“Nimekuelewa baba Joy, hataingia tena usiku ikitokea itakuwa mchana.”
“Iwe hivyo, sitaki kumwona tena usiku. Kwanza wewe ni mke wa mtu, mnachekeanachekea kwa sababu gani?”
“Basi mume wangu jamani, nimekuelewa.”
Mzee huyo aliondoka kwenda kazini, mkewe mama Joy alisiama nje kwa muda mrefu, alipotaka kugeuka kurudi ndani, kwa mbali alimwona mwanaume akitokea. Mgongoni alibeba furushi…
“Au yule?” alisema moyoni. Alisubiri kwa muda ili amwone kwa karibu, lakini hakuwa yeye.
Nusu saa baada ya kuingia ndani, kengele ya geti kubwa ililia…
“Mh! Si yeye huyo?” alijihoji mama Joy akiamini aliyebonyeza kengele ni mzoa taka. Japokuwa alijua mlinzi atashughulikia, lakini aliamua kutoka mwenyewe kuelekea getini ambapo alimkuta mlinzi anasukuma geti kubwa.
“Nani amepiga kengele?” mama Joy aliuliza…
“Sijamjua ni nani?” mlinzi alijibu huku akiendelea kusukuma geti, likawa wazi…
“Shikamoo mama,” mzoa taka alisalimia akiwa anatabasamu...
“Hujambo wewe?” mama Joy alijibu hivyo badala ya kusema marhaba. Na tangu mzoa taka huyo ameanza kuingia ndani ya nyumba hiyo kuchukua taka, kila akimsalimia shikamoo mama Joy anajibiwa hujambo wewe au asante kijana…
“Sijamboo, shikamoo…”
“Asante…askari, funga geti…”
“Sawa. Huyu mzoa taka aingie..?”
“Aingie ndiyo. Akishaingia funga geti.”
Mzoa taka aliingia hadi ndani, akamkaribia mama Joy ambaye naye alimkaribisha hadi kwenye sehemu yenye taka.
Mlinzi aliwakodolea macho. Kilichomshangaza zaidi ni kauli ya baba Joy kwamba hataki kumwona mlinzi huyo nyumbani kwake…
“Sasa mbona amemuingiza tena leo? Halafu kuna siri nzito mimi naiona kati ya mama na huyu mzoa taka, maana mama akiamkiwa shikamoo hatakagi kuitika marhaba,” mlinzi aliwaza.
Mama Joy alimfikisha mzoa taka kwenye pipa la taka ambalo lilijengwa vizuri ndani ya nyumba hiyo…
“Jana mwenzangu mzee alikasirika sana,” alianza kusema mama Joy…
“Hata mimi kama nilimwona. Niliogopa sana…”
“Yeye anasema hataki kuona unaingia humu ndani usiku. Akasema atalitoa hili pipa na kulijengea nje huko.”
“Kwa hiyo akinikuta saa hizi humu ndani kwake si ataniua?”
“Hawezi, ingawa ana bastola…”
“Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana bastola..!”
“Hawezi kukuua, alisema hataki uingie usiku, ‘asa kwani saa hizi ni usiku?” alisema mama Joy huku akimsogelea mzoa taka huyo na kumshikashika kidevuni. Alizikuna ndevu zake chache…
“Una ooo nzuri kijana, sema tu hutaki kuitunza…”
“Una macho mazuri, madogoooo, sema tu unayashindisha juani mpaka yanakuwa mekundu, au unavuta bangi..?”
“Sivuti bangi mama…”
“Una midomo mizuri, minene halafu myeusi, naipenda.” Hapo mama Joy vidole vyake vilikuwa vikicheza kwenye midomo ya mzoa taka huyo ambaye alionekana hajapiga mswaki…
“Halafu kifua chako kimetuna vizuri sana, mi nakipenda, unafanyaga mazoezi nini?”
“Nina muda huo mama, labda kimetuna chenyewe tu.”
Mama Joy alimvutia kwake mzoa take, akamgusanisha na kifua chake huku akizidi kummwagia sifa kibao…
“Halafu kifua chako kina joto zuri…”
“Asante mama…”
“Halafu masikio yako yamekaa vizuri kwa kushikwashikwa,” mama Joy akamshika masikio mzoa taka huyo…
“Mama unanitekenya lakini…”
“Kweli..?”
“Kweli tena…”
“Nakutekenya nikifanyaje?”
“Hivyo unavyonishikashika masikio…”
“Yaani hivi,” alisema mama Joy akiendelea kumshikashika sehemu hizo, mzoa taka akachachamaa mwili, akatupa furushi lake chini.
Kutokana na maisha yake ya kifukara ambapo kula, kulala kwake kwa kubahatisha, mzoa taka hakuwa akipata mademu, kwa hiyo mama Joy kumfanyia ‘utani’ ule wa kimahaba kwake ilikuwa kama mtende ulioota kwenye jangwa…
“Unajua mwenzio naumia mama, kwani nini kimetokea mpaka leo unafanya hivi..?”
“Kijana tulia, kwani siku zote hukuona kama nimekupenda sana mwenzio..?”
“Aaah! Mama wewe mke wa mtu, mimi siwezi, naogopa na sitaki.”
Mama Joy alijua kauli ya mzoa taka huyo ya kugoma inaweza kuzua matatizo makubwa kwamba atamtangaza, akaamua kumbaka.
Kwanza, aliangalia kulia na kushoto, alipoona hakuna mtu na mlinzi hawezi kufika, alimshika mzoa taka na kumlaza chini kwenye nyasi za bustani, akamvua suruali, akamvua ‘kufuli’ kisha yeye akavua zake na kuanza kujihudumia kwa raha zake…
“Mama…”
“Abee…”
“Mumeo ana bastola lakini…”
“Wala isikutishe, ha…ha…wezi kuja…”
“Akija je?”
“Ni…nisi…kie mi…mi…”
Kwa kuwa walikuwa wanaiba, mama Joy alijitahidi kupiga mashuti ya kasi ili apate goli la ushindi. Hakukuwa na mbwembwe, madoido wala manjonjo, mama Joy akafika juu ya mlima na kutangaza ushindi.
Aliamka na kumsimamisha mzoa taka ambaye bado alikuwa hoi kwa ‘mzuka’ ingawa naye alishabanjua dafu lake moja, lakini bado alikuwa anataka tena…
“Simama basi.” #SOMA HAPA CHINI MUHIMU
#ANGALIZO: Simulizi hii itaendelea baada ya SHARE KUFIKA 200 kama umeipenda na unataka iendelee plz share na mkaribishe rafiki yako tuwe nae hapa.
KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA - 01
ILIPOISHIA
Aliamka na kumsimamisha mzoa taka ambaye bado alikuwa hoi kwa ‘mzuka’ ingawa naye alishabanjua dafu lake moja, lakini bado alikuwa anataka tena…
“Simama basi.”
Mzoa taka alisimama…
“Vaa…”
Mzoa taka alivaa nguo zake, akaendelea kusimama…
“Chukua matakataka yako, mimi nakuja sasa hivi,” alisema mama Joy huku akienda ndani.
Mzoa taka alijishangaa kwa jinsi alivyobaki na harufu ya pafyumu ya mama Joy…
“Mmm…ananukia vizuri, sijui kajimwagia nini mwilini?”
Baada ya dakika mbili tu, mama Joy alirudi, akampa mzoa taka shilingi elfu hamsini, nyekundu tupu…
“Hizi ukanunue suruali nzuri, shati zuri, viatu, chup*** na kisha uoge uwe mzuri zaidi ya hapa, sawa kijana wangu?”
“Asante sana mama, sawa.”
Mzoa taka aliweka pesa mfukoni, akabeba furushi lake na kutoka.
Getini, mlinzi alimtupia jicho baya mzoa taka…
“Hivi wewe kijana, huko mitaani hakuna matakataka hadi uje hapa?”
“Sasa kwani yako?”
“Jibu swali wewe, acha ujeuri, nitakuwa sikufungulii…”
“Usifungue tuone kama nitakuwa siingii…”
“Utaingia kwa njia gani?”
“Pana nini hapo getini..?” mama Joy aliuliza kutokea mbali karibu na mlango mkubwa wa kuingilia ndani…
“Si huyu hapa,” alisema mzoa taka…
“Anasemaje?”
“Mama namtania tu huyu ni mtani wangu. Teh! Teeh! Teeeh!”
Mama Joy aliingia ndani. Mwili wote ulikuwa ukinuka jasho la mzoa taka. Mbaya zaidi alimchafua hadi nguo aliyovaa…
“Daaah! Yataka moyo kuwa na mpenzi kama huyu,” alisema moyoni mama Joy, mara honi ya gari mlangoni ikalia…
“Mh! Siyo mume wangu kweli huyo?”
“Na kama ni mume wangu si ajabu amemuona mzoa taka,” aliwaza mama Joy huku akikimbilia chumbani, akachukua taulo kisha akakimbilia bafuni ambako alioga kwanza.
Alipotoka alimkuta mumewe amekaa sebuleni. Mama Joy alitetemeka sana…
“Vi…pi mwenzetu?”
Baba Joy alimkazia macho mkewe bila kumjibu kitu halafu akaangalia kwenye tivii ambayo ilikuwa haijawashwa…
“Baba Joy.”
Baba Joy alimwangalia mkewe kama ishara ya ‘nakusikiliza ongea’. Lakini mama Joy alipoona hali ile, hakuongeza neno, alipitiliza chumbani…
“Mh! Hapa kuna ishu, lazima.”
Licha ya kujikausha kwa taulo lakini aliendelea kuhisi ananuka uchafu aliogusishwa na mzoa taka. Alivaa gauni simpo, akatoka hadi mlango mkubwa, akatumbukiza miguu kwenye sendozi, akaelekea getini…
“Mlinzi…”
“Naam mama…”
“Baba Joy alipoingia alisemaje?”
“Hajasema kitu, amepiga honi tu kisha akaingia.”
“Ulimwamkia?”
“Ndiyo mama.”
“Akaitikiaje?”
“Kha! Mama kwani wewe nikikuamkiaga huwa unaniitikiaje?”
“We mshe** nini? Nakuuliza swali na wewe unanijibu swali…”
“Alisema marhaba, nikamuuliza mbona umewahi kurudi? Akasema amechoka sana…”
“Mlinzi fungua geti haraka,” sauti ya baba Joy ilisikika kwa kishindo na vile ilikuwa nzito na nene ndiyo kabisa.
Baba Joy aliingia kwenye gari, likarudi ‘rivasi’ na kugeuza kisha likatoka ndani bila kuaga mtu. Mlinzi alifunga geti nyuma ya baba Joy…
“Mlinzi,” mama Joy aliita…
“Naam mama…”
“Hebu njoo huku ndani,” mama Joy alisema huku akianza kutembea. Alipofika sebuleni, alikaa mkao wa hasira.
Mlinzi aliingia…
“Nifunge mlango mama..?”
“Wa nini..?”
“Nilikuwa nauliza tu…”
“Hebu kaa hapo.”
Mlinzi naye alianza kutetemeka, alihisi kibarua kimeingia mdudu mbaya…
“We mlinzi si una namba ya mume wangu..?”
“Ndiyo…”
“Simu yako iko wapi?”
“Kule kwenye kibanda changu.”
“Nenda kailete haraka sana.”
Mlinzi alisimama na kutoka. Mama Joy aliwaza mengi kichwani mwake wakati anamsubiri mlinzi…
“Huyu lazima alimpigia simu mume wangu, akamwambia mzoa taka amekuja, maana jana si alisikia baba Joy alivyokuwa akikataza watu kuingia? Lakini yeye alisema hataki watu waingie usiku, sasa kwani saa hizi usiku?”
“Halafu ni kweli itakuwa yeye maana hawapatani tangu zamani. Hata leo yenyewe pale getini si walibalulana kidogo. Atakuwa yeye tu. Baba Joy alikuja akidhani atamkuta mzoa taka, bahati nzuri kashaondoka.”
Mara, mlinzi aliingia…
“Iko wapi?”
“Hii hapa.”
Mama Joy aliipokea simu hiyo na kusachi namba zilizopiga kwa siku hiyo, hakukuwa na namba zilizopiga wala kupigwa…
“We unan’tania siyo..?”
“Hata kidogo mama…”
“Ina maana hii simu yako hujapiga simu wala kupigiwa..?”
“Leo kuna wakati nilitoa laini. Kwa hiyo kuna uwezekano namba zote zilizopigwa na nilizopiga zimefutika zenyewe.”
Mama Joy alikubaliana na hilo, lakini alijua mlinzi alifanya hivyo makusudi. Yaani alipomwambia akachukue simu, mlinzi alipofika alitoa laini au alifuta namba zote ili kupoteza ushahidi kama alimpigia baba Joy…
“Haya nenda,” alisema mama Joy. Mlinzi alisimama, akaondoka bila kuaga.
Nyuma, mama Joy alianza kufikiria vitu vyake…
“Huyu mlinzi atakuwa adui wangu kwa mzoa taka. Kama anaweza kumpigia simu mume wangu kumwambia kuna mwanaume ameingia ni tatizo, tena kubwa sana.
“Kinachoonekana, baada ya mume wangu kurudi alimwambia ameshatoka ndiyo maana hata alipoingia ndani alifikia sebuleni. Tena mbaya sasa amekuta mi natoka kuoga, si ndiyo hatari zaidi?
“Sasa hapa nifanyeje? Maana kama kutokea limetokea. Nikisema nimchongee chochote kwa mume wangu atajua natengeneza bifu kwa sababu anatoa siri zangu na mzoa taka, dawa yake hapa moja tu…” alisema moyoni mama Joy kisha akabetua vidole, akasimama, akaingia ndani…
“Asumta,” alimwita mwanamke anayefanya kazi ndani ya nyumba yake…
“Abee…”
“Kaniitie mlinzi.”
Asumta alitoka nje hadi kwa mlinzi, tena kwenye kibanda chake…
“Fuko unaitwa na bosi wa kike.”
“He! Leo mama yangu umetoka nje, ajabu!”
“Unaitwa huko.”
Asumta na mlinzi huyo waliongozana hadi ndani, Asumta akawa anapita, mlinzi akabaki sebuleni…
“Asumta…”
“Abee bosi…”
“Endelea na kazi zako, mimi nina maongezi na Fuko…”
“Sawa bosi,” Asumta aliitika huku akiinamisha kichwa kama ishara ya utii.
Mama Joy alisimama, akamfuata mlinzi kwenye kochi alipokaa, akapiga magoti chini yake na kumshika mapajani…
“Niambie ukweli. Ulimpigia mume wangu simu kumwambia..?”
“Kumwambia nini?”
“Kwamba mzoa taka ameingia..?”
“Lini? Leo?”
“Leo ndiyo.”
“Hapana, sijampigia.”
“Fuko…”
“Naam mama…”
ITAENDELEA SIKU YA KESHO
Like: www.facebook.com/2jiachie
Web: www.2jiachie.com
Post a Comment