ad

ad

AZAM YASHINDA BAO 3- 1 DHIDI YA KAGERA SUGAR LEO JIJINI MWANZA

 

Wachezaji wa Azam FC wakishangilia pamoja na mfungaji wa bao la kwanza Kipre Tchetche
 

Wachezaji wa Azam Fc wakiyarudi Mangoma mara baada ya kupata bao lao la mapem Dakika ya 4 Kipindi cha kwanza cha dakika 45. Bao la pili lilifungwa na Didier Kavumbagu dakika ya 38 kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili hich hicho Kona ilipigwa na Didier Kavumbagu alijitwisha kichwa na kufunga bao katika dakika ya 77 na kuipatia bao la tatu kwa kufanya 3-1 dhidi ya Wenyeji Kagera Sugar.
 Picha na Faustine Ruta wa Bukobasports.com  

Shaaa shaaaa!! 
Kikosi cha Timu ya Kagera Sugar
Rashid Mandawa dakika ya  55 kipindi cha pili alifanya 2-1 na kasi ikaanza kwa Timu ya Kagera Sugar kwa kuongeza bidii ili waweze kusawazisha bao lililobaki.
 
Kikosi cha Timu ya Azam FC 

 
Timu Kepteni na Waamuzi wa Mchezo wa leo walipata picha ya pamoja kwenye uwanja wa CCM KIrumba Jijini Mwanza. Picha na Faustine Ruta wa Bukobasports.com


Timu zikisalimiana zote mbili kati ya Kagera na Azam FC



Wachezaji wa Timu ya Azam Fc wakiingia Uwanjani CCM Kirumba tayari kwa mtanange na Wenyeji Kagera Sugar



Wachezaji wa Kagera Sugar mechi inaendelea 3-1

PICHA NA FAUSTINE RUTA/MWANZA

No comments

Powered by Blogger.