ad

ad

ALLY ABDALAH MCHEZAJI BORA WA MKOA ARUSHA UNDER 12 MWAKA 2014


 Ally Abdalah ametangazwa kuwa mcheaji bora under 12 mkoa wa Arusha kwa mwaka 2014,Pichani ni wachezaji wa chini ya umri wa miaka 12 wakianya yao ndani ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Memorial Stadium, wa jijini Arusha.


Kerlius Majegero mchezaji bora wa mwaka Loamo Primary Academy  mmoja katika timu ya mkoa

No comments

Powered by Blogger.