ad

ad

UCHUNGUZI MWILI WA AISHA MADINDA WAKAMILIKA


Uchunguzi wa mwili wa marehemu Aisha Madinda, umekamilika na sasa mwili uko unaoshwa katika msikiti wa Muhimbili.
Bado Saluti5 ambayo iko hapa Muhimbili, haijafanikiwa kupata ripoti ya daktari, lakini matarajio ni mwili kuondoka hapa majira ya saa 8 mchana kuelekea Kigamboni.

Kwa hali hii, ni wazi kuwa mazishi ya Aisha Madinda sasa yatafanyika baada ya saa 9.
 Mwili wa Aisha Madinda ukitolewa chumba cha maiti na kupelekwa msikitini kwaajili ya kuoshwa
 Mwili unawasili msikiti ulioko Muhimbili
 Safari ya mazishi ya Aisha Madinda inaanzia hapa
Kutoka kushoto ni Juma Mbizo, Said Mdoe na Omar Baraka wakiwa nje ya msikiti wa Muhimbili

No comments

Powered by Blogger.