ad

ad

DIAMOND AFANYA MAJARIBIO DAR LIVE TAYARI KWA SHOO KALI YA TAMASHA LA WAFALME LEO USIKU


 
Msanii Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya majaribio ya vifaa ndani ya jukwaa la Dar Live.
 
Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya maandalizi katika jukwaa la kupanda na kushuka la Dar Live.
 
Mpiga drums Kibosho akijaribu vifaa vyake tayari kwa shoo ya Diamond leo usiku. Kibosho ndiye atampigia Drums Diamond katika shoo yake leo itakayokuwa live.
 
Diamond akipozi na dansa wake.
(PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753715 779)

No comments

Powered by Blogger.