BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE
Diva wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’.
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, diva wa filamu
Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kimya chake hicho kina
mshindo kwani kuna kitu kilimuweka bize hivyo watu wakae mkao wa kula
atawasapraizi.

Post a Comment