ad

ad

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DAR

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na T.I usiku wa kuamkia leo Ledears Club.
Clifford Harris,'T.I' staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dar.
Msanii kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido' akitoa burudani kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Ledears Club.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma 'Diamond' (kushoto) na Davido wakiimba Remix ya My Number 1 katika serengeti fiesta 2014.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma 'Diamond' akikamua jukwaani.
Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akilishambulia jukwaa.
Linah Sanga na wacheza shoo wake wakiendelea kutoa burudani.
Msanii wa Bongo Flava, Shaa akifanya yake.
Shaa akiwapagawisha mashabiki (hawapo pichani).
Waje kutoka NIgeria akifanya yake.
 
Victoria Kimani akiwajibika.
Recho akitumbuiza katika Tamasha la Fiesta.
 Rachel na wakikata mauno na wacheza shoo wake.
Msanii mahiri wa Bongo Flava, Ali Kiba akiwapagawisha wapenzi wa burudani.
Ali Kiba (kulia) akiwa na mdogo wake Ally Kiba pamoja na Abdul Kiba (kushoto).
Staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' akitumbuiza katika Tamasha la Fiesta.
Wasanii wa kundi la Weusi Nikki 2 (kulia), Joh Makini (katikati) na G-Nako (kushoto) wakifanya yao.
Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akifanya yake.
Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Leaders Club.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akifana yake na Ommy Dimpoz.
Madansa wa Vanessa Mdee wakifanya yao.
(PICHA NA MUSA MATEJA, RICHARD BUKOS/GPL)

No comments

Powered by Blogger.