AUNTY LULU AMPA SOMO JOHARI LA MAPENZI
Staa wa Bongo Movies, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’.
SOMO! Staa wa Bongo Movies, Lulu Semagongo ‘Aunty
Lulu’ ameibuka na kumtaka msanii mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’
kukubaliana na matokeo ya aliyekuwa mpenzi wake Vincent Kigos ‘Ray’
kwamba kwa sasa ana uhusiano na mtu mwingine.
Msanii Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’.
“Mimi nimepitia kwenye maisha hayo ndiyo maana namshauri Johari
akubaliane na matokeo kwamba Ray kwa sasa yupo na Chuchu Hans na asiwe
na kinyongo naye ampende na aongee naye vizuri tu kwani ndiyo maisha,”
alisema Aunty Lulu.
Post a Comment