VITILIVYOGO (PAPA NA MUHOGO) - 11
MTUNZI: DK. AMBE
Endelea kulike ==>www.facebook.com/2jiachie
“Kwa hiyo mi nimekuwa baba huruma wa mtaa siyo?”
“Hapana shaka nilikuwa na wasiwasi tu,” Betty ilibidi awe mpole.
“Kwa hiyo ndiyo kazi yenu kuchukuliana wanaume?”
“Walaa, lakini siku zote nyuki mkali kwa asali yake.”
“Basi ondoa wasiwasi asali yako ipo salama.”
“Shaka, tuzungumze pembeni.”
“Safari ya wapi mbona umependeza?”
“Tutazungumza.”
Betty alimshika mkono Shaka na kusogea naye pembeni mbali na Diana na kumuacha kasimama peke yake.
“Vipi mpenzi? Shaka alimuuliza.
“Poa, Shaka nakwenda kwa Jimmy kaniita sijui kuna sherehe gani.”
“Sasa itakuwaje nami leo nilikuwa na hamu na wewe?” Shaka alitikisa kiberiti.
“Jamani shaka imeanza lini?” Betty alijitetea.
“Leo.”
“Sasa itakuwaje mtu nimeshamkubalia nakwenda, heri ungenieleza mapema nikajua cha kumweleza.”
“Kwa hiyo itakuwaje?”
“Shaka naomba basi leo uniache niende nikirudi nitakushtua.”
“Ili?”
“Ujilie vyako.”
“Yaani mimi nile makombo?”
“Siyo makombo bebi, simpi mchezo akitaka nitasingizia ugonjwa ili nikuletee kitu kamili.”
“Kama kweli unanipenda mi nataka usiende.”
“Sawa Shaka siendi,” Betty alisema kwa shingo upande.
“Naona kama hujaridhika?”
“Walaa nataka kukuonesha jinsi gani nakupenda, twende basi ukabadili twende homu.”
“Nikuambie kitu?” Shaka alimuuliza Betty aliyekuwa amegeuka warudi nyumbani.
“Niambie mpenzi.”
“Nimeamini unanipenda.”
“Shaka hilo jibu uliza swali.”
“Betty nenda kwa Jimmy.”
“Nikafanye nini?”
“Kwani ulikuwa unakwenda kufanya nini?”
“Nimeshaghaili.”
“Hapana mpenzi sikuwa na nia ya kukuzuia bali nilitaka kuona kama kweli nina sauti mbele yako.”
“Kwa hiyo ulikuwa unanitania?”
“Si kukutania bali kutaka kujitambua mimi nani kwako.”
“Wewe ni zaidi ya Jimmy wacha kunikataza kwenda hata ukiniambia niachane naye nipo tayari.”
“Usifanye hivyo muwahi mshikaji.”
“Umeridhika?”
“Kiroho safi.”
“Basi acha niwahi, usiku na kazi na wewe.”
“Poa.”
“Edna baadaye shoga.”
“Wapi tena?”
“Aah! Nilikuaga nakwenda wapi?”
“Ooh! Nimekumbuka, ndo kesho hiyo?”
“Walaa lazima nirudi.”
“Wewe nani asiyekujua lazima uutwike kisawasawa.”
“Na Shaka nimuachie nani?”
“Mmh! Haya basi wahi.”
Betty alifungua pochi na kutoa wekundu wawili na kumpa Shaka.
“Mpenzi utakunywa soda.”
“Asante.”
Wakati wakizungumza teksi ilisimama mbele, Betty alimbusu Shaka na kuingia ndani ya gari ambalo liliondoka. Baada ya gari kuondoka Shaka alimrudia Edna aliyekuwa bado amesimama.
“Da Edna ulikuwa unasemaje maana Betty amekatisha mazungumzo yetu?”
“Kwani Betty amekwambia anarudi saa ngapi?”
“Edna tuzungumze yetu ya Betty hayakuhusu.”
“Shaka kuna kazi nilitaka unisaidie nyumbani.”
“Kazi gani?”
“Kupigilia msumari ukutani.”
“Poa basi nakuja.”
Shaka aliagana na Edna bila kujua ule ulikuwa mtego wa panya, alikwenda mpaka kwao na kubadili nguo kisha alikwenda kwa Edna aliyekuwa akikaa jirani na Betty.
***
Edna baada ya kuachana na Shaka alikwenda kwake kujiandaa kwa ajili ya kutimiza lengo lake. Alipofika alikwenda haraka bafuni kuoga na kujifunga upande wa khanga bila nguo ya ndani.
Kutokana na maji kulowesha khanga aliyojifunga ilifanya kugandia mwilini na kuchora ramani ya mwili wake mantashau wenye kuwatoa udenda wanaume mashababi ambao hakuwaza hata siku kumvulia nguo ya ndani mtoto mdogo kama Shaka.
Japokuwa mwanzo alimponda shoga yake kutembea na mtoto mdogo na kuona anajidhalilisha, lakini sifa alizozitoa kwa Shaka zilimshauri kutoka nje ya ndoa yake na kuuonja utamu wa mtoto mdogo.
Alitumia nafasi ile kupima maji kama ya magoti au ya shingo yanayoweza kumzamisha mtu. Alimfahamu vizuri shoga yake Betty ni mwanamke wa shoka ambaye hawakufichana kitu.
Alimweleza udhaifu wa mpenzi wake naye alimueleza udhaifu wa mume wake. Lakini alimmwagia sifa Shaka kijana mdogo kuwa shughuli alikuwa akiiweza.
Sifa zile zilimfanya naye aingie kichwakichwa ili kutaka kujiridhisha maneno ya shoga yake japokuwa bado aliamini Shaka asingekidhi haja zake.
Baada ya kutoka kuoga alifunga vioo vya madirisha ili mchezo ukichezwa kelele zisitoke nje na kuwapa faida majirani. Akiwa anamalizia kufunga dirisha la mwisho alisikia hodi mlangoni.
Sauti ilimjulisha ni Shaka amefika, alikwenda haraka mlangoni na kufungua na kukutana naye uso kwa uso. Vazi la khanga moja lilimshtua sana Shaka na kuamini Edna alikuwa ndani na mumewe.
“Karibu Shaka.”
“Asante,” Shaka aliitikia bila kuingia ndani.
“Mbona huingii?” Edna alimshangaa Shaka.
“Na..na..”
“Hebu ingia,” Edna alimshika mkono Shaka na kumvutia ndani.
Kabla Shaka hajajua nini kinaendelea, Edna alifunga mlango na funguo kisha aliuchomoa na kuutupia kwenye kochi. Baada ya kugeuka alikuta Shaka amesimama akimshangaa.
“Shaka mbona hukai?”
“Nionyeshe kazi uliyoniitia niwahi nyumbani kuna kazi nimepewa na mama.”
“Hakuna tatizo njoo basi nikuoneshe uwahi kwenu.”
Edna alisema huku akimshika mkono na kuingia naye chumbani.
Shaka aliingia chumbani huku akitetemeka kitu ambacho Edna alikigundua na kumtoa wasiwasi.
“Shaka,” alimwita huku akimtazama usoni kwa jicho la huruma.
“Naa..aam.”
“Mbona nakuona kama una wasiwasi?”
“Hata nipo sawa.”
“Sasa mbona hujiamini.”
“Hapana niko poa.”
“Muongo! Sijui kama kazi yangu utaifanya vizuri.”
“Nitaifanya, nioneshe niifanye.”
“Panda kitandani usimame upande wa ukutani nikuonyeshe hiyo kazi.”
“Msumari na nyundo vipo wapi?” Shaka aliuliza baada ya kupanda kitandani na kusimama karibia na ukutani.
“Hebu teremka kwanza.”
Shaka aliteremka kitandani na kusimama chini kusubiri maelekezo. Edna alipanda kitandani na kumpa mgongo, akiwa kama anataka kumuelekeza jambo aliidondosha khanga kwa makusudi na kumfanya Shaka ashtuke.
Kiunoni kwa Edna kulisheheni chachandu za rangi za aina mbalimbali. Kitu kama kile aliwahi kukiona kwa dada mmoja jirani yake aliyekuwa akioga na kumpiga chabo, lakini siku ile alikiona ‘live’.
Edna hakuijali khanga iliyodondoka aliendelea kutoa maelekezo.
“Sasa Shaka unaona sehemu hii...”
Shaka alijikuta akiganda macho katika mzigo wa haja ambao haukuwa tofauti na wa Betty lakini ile ilizidi kidogo na kuwa vidimpozi vilivyoongeza ushawishi wa kutamani kulalia godoro lile la Mchina.
Hali ya Shaka ilikuwa mbaya baada ya jogoo kukurupuka bandani na kuanza kuwika ovyo kama kapandwa na wazimu. Alijitahidi kuzuia mwinuko kwa mkono, lakini ilikuwa kazi kubwa kuuzuia kwani alikuwa kama umeumuliwa kwa hamira.
Alishindwa kumuelewa Edna shida yake ilikuwa nini. Kufanya vitu kama vile ikiwa mke wa mtu, hata kama angekuwa anamtaka basi angetafuta sehemu nyingine lakini sio pale nyumbani kwake.
“Shaka,” Edna alimwita huku akiteremka kitandani na kumfuata alipokuwa amesimama kama sanamu.
“Mmh!”
“Vipi?” Edna alisema kwa shida kwa kujilazimisha huku pumzi za ashki zikimtoka kwa shida.
“Sa..sa..fi.” Shaka alipata kigugumizi.
Alijibu kwa kukata maneno baada ya kusisimkwa na mwili kutokana na kushikwa na Edna na kuvutiwa kwenye mwili mtupu uliokuwa umechemka kwa joto tamu lenye hamu isiyoisha utamu.
“Na..na..na.”
Edna alijikuta akikosa kujiamini kwa mtoto mdogo kama Shaka wakati siku zote alijiamini ni mwanamke wa shoka mbele ya mwanaume yeyote shababi.
Lakini alijishangaa kwa kijana ambaye hata mkononi hajai kujiona kama ndiyo siku ya kwanza kukutana na mwanaume baada ya kuvunja ungo.
“Mmh!”
Shaka naye alishindwa kunyanyua mdomo, joto la hofu lilimpanda na kujikuta akivuja jasho. Edna baada ya kukosa la kumweleza alijikuta akimbeba juujuu mpaka kitandani.
Baada ya kumtanguliza chini aliona kufungua vifungo anachelewa kwa hamu ya juisi ya madafu. Alijikuta akikata vifungo vya kaptura na kuiteremsha ambayo ilitoka mbili kwa moja, chumba na sebule.
Kutokana na kupandwa na maruhani ya burudani alijikuta akirusha nguo za Shaka bila kuangalia zinaangukia wapi, kama mtu anayebaka kichakani.
Kwa vile moto ulishawaka, alitega chungu jikoni na kuanza kupika. Edna alihaha kama mbwa wa polisi aliyemuona kibaka. Hakuchukua muda dafu lilimpiga kichwani na kupasuka.
“Sha..Sha..kaaa, siamini,” alimkumbatia kwa nguvu kuacha dafu limwage maji.
Shaka kutokana na kucheza mchezo kwa woga alijikuta akizuia sana kuliko kushambulia na kumfanya Edna apate wakati mgumu muda wote.
Muda wote wa mchezo Shaka hakuwa mchezoni mawazo yote yalikuwa katika kufumaniwa kitu kilichomfanya Edna apate kipigo cha mwana ukome kwa kudondokewa na kole la madafu matano yaliyompasukia na kumfanya awe hoi.
“Sh..Sha..Sha..ka hujafika tu?” alimuuliza kwa sauti ya mtu aliyekuwa akipanda mlima na pumzi kumtoka kwa shida.
Kauli ile ilimshtua Shaka na kujikuta akirudi mchezoni. Alijishangaa kuacha kufurahia utamu wa nyama iliyonona.
“Shaka wee kiboko, maliza basi mwenzio nimechoka.”
Shaka baada ya kurudi mchezoni hakuchelewa kumwaga mzigo na kutulia. Edna alikuwa kama mgema aliyedondoka kwenye mnazi kwa kuti aliloliamini.
“Shaka unatisha, umenigeuza Goliati.”
Shaka hakujibu kitu, akili yake ilikuwa katika kufumaniwa tu. Edna alijilaza kwa kujiachia kutokana na kuchoka sana, hakuchukua muda usingizi ulimpitia.
Shaka hakutaka kusubiri kitu, alivaa nguo zake haraka bila kumuaga, alitoka hadi sebuleni na kuutafuta ufunguo. Baada ya kuupata alifungua mlango akitaka kutoka.
Alipochungulia nje ili atoke alishtuka kumuona mume wa Edna akiwa uani akizungumza na majirani zake. Alirudi ndani haraka huku akitetemeka, alijiuliza ajifiche wapi.
Wazo la haraka alirudi chumbani kwenda kumuamsha Edna.
“Da’ Edna amka mumeo karudi.”
“Wewe acha utani!” Edna alikurupuka alipokuwa amelala na kujifunga upande wa khanga huku macho akiyatoa pima.
“Umemuona wapi?”
“Uani anazungumza na jirani zake.”
“Mungu wangu!”
“Sasa nitafanya nini? Ndiyo niliyakataa sasa itakuwaje?” Shaka aliuliza huku akitetemeka.
“Hebu tulia, twende.”
Edna alimshika mkono na kutoka naye nje, alipofika sebuleni alipitia noti ya elfu tano iliyokuwa juu ya meza.
“Nitakupa hela ukaninunulie dawa.”
“Kisha nilete?” Shaka alishtuka.
“Hapana, usinunue wala nini wewe nenda zako natumia njia ya kukutoa ili mume wangu asijue chochote.”
“Sawa.”
MTUNZI: DK. AMBE
Endelea kulike ==>www.facebook.com/2jiachie
Website: www.2jiachie.com
ANGALIZO: ITAENDELEAMPAKA MWISHO HAPA KAMA SHARE ZITAFIKA 3,000 NA COMMENT 2,000 VINGINEVYO MTAMALIZIA KATIKA KITABU

Post a Comment