VITILIVYOGO (PAPA NA MUHOGO) - 04
“Basi amka ukaoge, si umeyataka mapenzi basi usiyaogope.”
“Sawa mpenzi.”
“Na nguo zako zivulie hapahapa.”
“Aah! Mchumba acha nikavulie bafuni.”
“Unamuogopa nani wakati tupo wawili tu mpenzi?”
SONGA NAYO HAPA
Shaka ilibidi awe mpole, alivulia palepale huku kitu kikiwa hewani kama antena ya king’amuzi. Jicho la Betty lilitua kwenye mkonga wa tembo na kujikuta akisisimkwa na mate ya uchu yalimtoka, akajikuta akiisifia kimoyomoyo akishangaa kijana mdogo kuwa na bakora mujarabu.
Aliishika na kumfanya Shaka aruke nyuma na kusema:
“Kweli mambo yako dijitali, naona king’amuzi kinaonesha bila chenga mbona leo nitafaidi mtoto wa kike.”
Alimshika mkono na kuongozana naye, wakati huo mkono wa Shaka haukucheza mbali na kambi ya jeshi ili kumtuliza. Baada ya kumwacha bafuni alitoka mara moja.
Baada ya muda Betty alirudi, alipofika mlangoni alisukuma mlango na kumfanya Shaka atoe sauti.
“Mchumba bado naoga.”
“Tatizo nini?” Betty alisema huku akiingia bafuni bila kitu mwilini.
Shaka alipofumbua macho alishtuka kuuuona mwili wa Betty bila kitu kwa mara ya kwanza. Hakutegemea kumuona Betty kuwa vile siku ile, alitegemea kuuona siku ya kuua tembo kwa ubua.
Mshtuko alioupata ulisababisha mnazi kuanguka chini, Betty alioga pamoja na Shaka. Baada ya kuoga alimfuta maji kisha alimshika mkono na kumpeleka chumbani kwake ambako Shaka katika siku zote alizowahi kufika pale hakuwahi kuingia chumbani kwa Betty.
Shaka alishtuka kuona akiingizwa chumbani na kukuta kitanda kimetandikwa vizuri, kilikuwa chumba cha thamani ambacho hakuwahi kuingia. Betty alimkalisha kitandani na kushangaa kuuona mnazi wa Shaka umelala.
“Vipi mpenzi mbona mnazi umelala?”
“Hata sijui!”
Alimwacha na kwenda kuchukua mafuta ya masaji na kuacha sehemu ya ‘plate number’ za nyuma ikisomeka kwa usahihi. Shaka pamoja na uchu bado hakuamini kama ile ndiyo siku waliyokubaliana.
Yeye alijua makubaliano ni mwisho wa wiki na kwenye nyumba ya wageni. Muda wote alikuwa kama yupo ndotoni na mshtuko aliopata ulisababisha mnazi kulala na kupoteza kujiamini kabisa.
Muda wote aliangalia chini kama mwari aliyekuwa akisubiri kufichuliwa. Moyo ulimuuma kuona anapoteza kujiamini siku ya ahadi.
Betty baada ya kuchukua mafuta mepesi alimlaza kifudifudi na kuanza kumchua taratibu kiungo kimoja kimoja. Wakati akijua anamuandaa mwenzake, Shaka alikuwa mbali na kujiuliza mbona hakumtaarifu mapema ajiandae kuliko kumshtukiza vile.
Baada ya kumaliza kumchua mgongoni alimgeuza na kuanza kumchua mbele. Lakini alishtuka kuona mnazi umeendelea kulala. Alipojaribu kuushtua bado ulikuwa umelala dolo.
Alijaribu kuuchua mnazi ili usimame aweze kuyafaidi madafu ya mnazi mchanga ulionekana una madafu matamu lakini alijikuta akitumia muda mwingi bila mafanikio huku jasho la uchu likimtoka. Alijikuta akijipaka upupu bila mkunaji.
“Shaka vipi?” ilibidi amuulize baada ya kuona hakuna dalili zozote za mnazi kunyanyuka, mtalimbo ulikuwa umelala dolo.
“Hata mi nashangaa,” Shaka alijibu huku aibu ikiwa imemtawala.
“Unashangaa nini, unajijua una matatizo umenitaka ili iweje? Leo hii nipo kwetu ingekuwa nyumba ya wageni gharama zangu ungezilipa?”
“Samahani mchumba, mwanzo ulikuwa na nguvu nashangaa umelala ghafla.”
“Una mpenzi?” Betty alimuuliza huku akimtazama kwa hasira.
Shaka kwa kuhofia kuonekana malaya alikataa.
“Sina.”
“Hujawahi kuwa na mwanamke?” alimuuliza akiwa amemkazia macho.
“Ndi...ndii...yooo.”
“Sasa kama hujawahi kuwa na mwanamke uliwezaje kunitongoza, ikiwa wanuka mikojo wenzio umewashindwa?” Betty alisema kwa hasira huku ameishikilia bakora mkononi iliyokuwa imetulia kama haijui muda ule ilitakiwa ifanye nini.
“Nilikuwa naye nikaachana naye.”
“Shaka kweli ulishawahi kufanya mapenzi na mwanamke?” Betty alimuuliza huku akifuta jasho kwa kiganja cha mkono lililokuwa likimvuja.
“Ndiyo.”
“Huna matatizo?”
“Sina mwenyewe si uliona wakati nakwenda bafuni mpaka ukashtuka, nashangaa mnyama kaanguka ghafla.”
“Ulipokuwa ukipanda juu ya mnazi ulikuwa ukiangusha nazi ngapi?”
“Kidogo tatu.”
“Nyingi?”
“Mpaka saba.”
“Sasa mbona mnazi umelala bila kuangusha hata nazi moja?”
“Lakini mchumba kwani ahadi yetu ilikuwa leo?” Shaka aliuliza swali la kitoto.
“Shaka acha akili za kitoto na ukitoka hapa bila kuzitoa hamu zangu tusijuane na unikome tena unione kama muuza bangi na polisi.”
“Lakini mchu...”
“Lakini nini? Hebu ona kisima kimejaa maji mpaka yanamwagika,” Betty alisema huku akionesha mchirizi uliokuwa unataka kuteremka chini.
“Yaani mwenyewe najishangaa kweli mkamia maji.”
“Maji ya mama yako, ngoja nije.”
Betty alisema huku akitoka chumbani na kumwacha Shaka akijishangaa kupoteza mdomo siku ya sherehe aliyoipania muda mrefu. Alijiuliza tatizo nini ikiwa siku zote alijiamini ni mwanaume shababi aliyekuwa akiwaliza wasichana mtaani kiasi cha kumpigania kama mpira wa kona.
Aliamini usemi mkamia maji hayanywi lakini kwa upande mwingine aliona kama siku aliyotembea uchi ndiyo aliyokutana na mama mkwe wake. Akiwa katikati ya sintofahamu, Betty alirudi chumbani na nguo za Shaka mkononi.
“We paka vaa nguo zako na uondoke zako mara moja,” Betty alisema huku akimtupia Shaka nguo zake.
“Samahani mchumba..”
“Koma kuniita mchumba mwanamke mwenye umbile la kiume wee.”
Shaka alijikuta akijuta siku ile kwenda kwa Betty na kuona heri angekwenda siku ya pili kuliko aibu kama ile kumkuta na kupoteza kitu alichokihangaikia kwa muda mrefu.
Alijikuta ameganda kama sanamu na kushindwa kufanya kitu chochote, hata nguo hakuziokota, aliona kazi.
Betty baada ya kuona anamchelewesha aliokota nguo zake na kumshika mkono na kumvuta nje huku akimtukana.
“Maji huyawezi kiherehere, haya nenda umeishaniona mwili wangu inatosha kawahadithie wenzako.”
“Hapana mchumba nipe nafasi nyingine basi hata mi sijielewi,” Shaka alijitetea.
“Utajielewa nyumbani kwenu, kwa vile hutaki kuvaa nguo zako utavalia kwenu nguchiro mtoto wee, mbona najuta kujidhalilisha kwa vitoto!”
Alipomfikisha sebuleni alimwacha na kufuata baadhi ya nguo zake alizoziacha chumbani ili amtoe nje. Alipoingia chumbani wakati anaokota nguo za Shaka alikumbuka kitu na kumfanya asimame na kuweka kidole mdomoni.
“Mmh! Lazima itakuwa vile tu.”
Betty alikumbuka siku ya kwanza kukutana na mpenzi wake wa sasa, siku ya kwanza baada ya kuingia chumbani na kuvua nguo jamaa alichanganyikiwa na kupoteza kujiamini kitu kilichosababisha mnazi kulala chini.
Ilimchukua zaidi ya saa tatu kumrudisha mchezoni. Aliamini hata Shaka yalimkuta yaleyale kwa vile hakuwahi kukutana na mwanamke mwenye umbile tamu kama lake lililokuwa na kila sababu ya kumtia wazimu mwanaume.
Siku zote umbile lake lilitakiwa lionwe na wanaume wazoefu na mbuga kwani wageni wakimuona bunduki iliwaponyoka na kutimua mbio.
Alijikuta akikaa kitandani na kujiinamia kwa muda kisha alinyanyuka na kutoka chumbani taratibu. Alipofika sebuleni alimkuta Shaka amejiinamia akilia, kitu kilichomfanya ajisikie uchungu sana.
Alimfuata pale chini na kumnyanyua na kumwita jina lake kwa sauti ya chini.
“Shaka.”
“Na..naam,” Shaka alijibu kwa sauti ya kilio.
“Nyamaza basi mchumba.”
Betty alimnyamazisha huku akimvutia kwake na kumkumbatia kitu kilichomfanya Shaka asisimkwe mwili na kujikuta akirudiwa na nguvu za ajabu.
Wakiwa wamekumbatiana, Betty alishtuka kuguswa na kitu kwa chini alipotupa macho alishtuka kukuta mnazi umenyanyuka.
Hakusema kitu, alimshika mkono Shaka mpaka chumbani, hakutaka kupoteza muda, aliamua kujihudumia mwenyewe kupunguza njaa aliyokuwa nayo.
Aliudandia mnazi na kujikuta akiukwea kwa pupa, kutokana na kuwa na kiu kikali cha dafu hakufika mbali alipiga kelele kuonesha amepasua dafu. Baada ya kupunguza mwasho mchezo ulianza rasmi huku Betty akitoa onyo kwa sauti ya ashki.
“Shaka sikukuita umekuja mwenyewe nataka kilichokufanya unitafute kwa miaka sita leo nikione.”
“Sawa.”
Shaka alijiapiza baada ya kuponea tundu la sindano kifukuzwa na Betty kufia kifuani kuhakikisha naye anabakia katika kumbukumbu zake. Akitumia mtindo wa kizamani wa 4 – 2 – 4 alimsaidia kumpeleka puta Betty ambaye alijikuta akiuona ugumu wa mechi na kujua sababu ya Shaka kutaka gemu na yeye.
Mpaka wanakwenda mapumziko, Shaka alikuwa hoi kutokana na kutumia nguvu nyingi akitaka kujitoa kimasomaso. Baada ya mchezo uliotumia zaidi ya saa moja, Shaka alianza kuona kizunguzungu na kuhema kwa mbali, kitu kilichomshtua Betty.
“Shaka.”
“Mmh!”
“Nini?”
“Tumbo.”
”Hukula?”
“Ndiyo.”
“Mungu wangu nimemuua mtoto wa watu.”
Kwa haraka alikimbilia maziwa fresh kwenye friji na kuanza kumnywesha kama mtoto huku mwili wa Shaka ukiwa hauna nguvu kabisa.
Baada ya kumpa maziwa na kurudiwa na nguvu kidogo alikwenda kumwagia maji na kurudi naye ndani.
Alimpatia chakula ambacho alikila chote kutokana na njaa kali aliyokuwa nayo. Aliposhiba aliomba kwenda kulala.
“Betty naomba nikalale, nina usingizi.”
“Utafika?” Betty alimuuliza baada ya kuwa na wasiwasi naye.
“Nitafika tu.”
“Hapana, kwa hali hii lazima utaulizwa nini kimekusibu, utajibu nini?”
“Hawawezi, kwanza sasa hivi wamelala,” Shaka alijibu kama mlevi.
Alipojaribu kutembea aliyumba kuonesha hawezi kufika kwao bila msaada, Betty alijiuliza kama atamfikisha kwao atawaeleza nini wazazi wake? Alipata wazo la kwenda nyumbani kwa akina Shaka kumuombea ruhusa kulala kwake kwa vile yupo peke yake.
“Shaka itabidi ulale hapa.”
“Hakuna tatizo mchumba, sio siri leo nimefurahi ile mbaya,” shaka alisema kwa sauti ya kilevi kuonesha amechoka sana kwa kalinyekalinye la saa mbili bila kupumzika, bandika bandua kwa Betty kuogopa aibu ya kuaibishwa na mtoto mdogo na Shaka kutaka kujionesha sababu ya yeye kuomba utamu wa mtu mzima.
Betty naye alichoka lakini Shaka alikuwa hoi zaidi kwa vile ndiyo ilikuwa siku yake ya kwanza kukutana na kalinyekalinye la mgambo wa jiji na kumfanya atepete mtoto wa kiume.
Kwa vile kwao hawakuwa na taarifa, Betty aliamini asingelala na Shaka bila kwao kujua. Pamoja na kuchoka alioga haraka na kwenda nyumbani kwa akina Shaka kumuombea ruhusa ya kulala kwake.
Muda ulikuwa umekwenda, alikuta tayari wameishaingia ndani kulala. Aligonga mlango na kutoka baba yake Shaka, mzee Zulu.
“Ooh! Karibu mama.”
“Asante baba, shikamoo.”
“Marahaba, ndiyo mama mbona usiku, naona umemfuata mchumba wako?”
“Hapana baba.”
“Mmh! Mama una shida gani?”
“Nimekuja kumuombea ruhusa mchumba wangu.”
“Ruhusa ya nini mama?”
“Leo nipo peke yangu nyumbani nilikuwa naomba Shaka nilale naye naogopa kulala peke yangu.”
“Mmh! Kulala naye kivipi?”
“Jamani baba hakuna maana nyingine zaidi ya kila mtu kulala chumbani kwake.”
“Haya mama, muamshe chumbani kwake japo mpaka naingia ndani sijamuona.”
“Yupo nyumbani kwetu.”
“Basi mama ruksa, najua palipo na wawili hapaharibiki kitu.”
“Baba hakuna kitu kingine, Shaka ni mdogo wangu.”
“Mama yangu mbona una wasiwasi sina maana mbaya.”
“Sawa baba, wacha niwahi.”
“Hakuna tatizo usiku mwema.”
“Na ninyi pia.”
Betty aligeuza na kurudi nyumbani, alipofika alimkuta Shaka amelala kwenye kochi akionekana yupo hoi. Alimuamsha na kumhamishia chumbani na kumlaza kitandani. Betty alimtazama Shaka na kumuonea huruma kwani alikuwa amechoka sana kiasi cha kujilaza kama mtu aliyeokolewa kwenye maji.
“Mmh! Ningeua mtoto wa watu bure.”
Alisema huku akiondoa nguo za Shaka na kuziweka pembeni kisha na yeye alitoa zake na kujilaza pembeni yake. Kutokana na uchovu naye usingizi ulimchukua.
Shaka aliamka siku ya pili, mwili ukiwa mchovu kama alikuwa akitwanga chuma. Hata alipooga na kupata kifungua kinywa cha nguvu kilichoandaliwa na Betty bado mwili ulikuwa mchovu na kumfanya ashinde siku ile amelala kama mgonjwa.
Betty alimuonea huruma Shaka ambaye alionekana amechoka muda wote. Kwa vile hamu zake hazikufikishwa, bado alitaka kupata la kuzimua ili akae sawa, kwani bila vile hali yake ingekuwa mbaya.
Alijiuliza atawezaje kumrudisha Shaka mchezoni ili aweze kukidhi haja zake. Japokuwa Shaka alikuwa kijana mdogo lakini aliweza kumkabili barabara na kutojutia kumvulia nguo ya ndani.
Alikumbuka kinywaji cha Red Bull humrudisha mtu mchezoni, alijifunga upande wa kanga na kitenge kwa juu, akaenda kununua Red Bull kwenye duka la Mchaga lililokuwa jirani.
Alikwenda mpaka dukani na kununua Red Bull sita na kurudi nazo ndani. Alimkuta Shaka bado amejilaza kitandani japo hakuwa amepitiwa na usingizi.
“Vipi mpenzi?” Betty alimuuliza Shaka huku akizipunguza nguo mwilini.
“Poa tu mchumba,” Shaka alijibu huku akimtupia jicho Betty.
“Shaka napenda uniite mpenzi.”
“Sawa mpenzi.”
“Vipi unajisikiaje?” alimuuliza huku akimlegezea macho na sauti.
“Mmh! Kama sijalala wiki nzima kwa jinsi nilivyochoka.”
“Basi amka unywe hii.”
“Mpenzi sijawahi kunywa pombe.”
“Siyo pombe ni kinywaji cha kukufanya uchangamke na kuufanya mwili wako uwe na nguvu.”
“Siyo pombe?”
“Siyo ni kinywaji kizuri ukinywa tu utauona mwili una nguvu kama mwanzo.”
Shaka alikaa kitako na kuchukua kopo la Red Bull lililokuwa limeshafunguliwa tayari na kunywa taratibu. Wakati huo Betty alikuwa akiondoa nguo ya ndani mbele yake na kisha kujifunga mtandio mwepesi uliomfanya aonekane kama hajavaa nguo na kwenda kukaa pembeni ya Shaka aliyekuwa yupo kwenye vazi la upande wa khanga.
Wakati Shaka akinywa Red Bull, Betty alikuwa akimpapasa taratibu na kulitengeneza joto la hamu lisiloisha utamu. Taratibu Shaka alijihisi kutoka jasho huku hamu zikimpanda taratibu kama sumu ya nyoka.
Kwa vile Shaka alikuwa amejifunga upande wa khanga, Betty alishuhudia mwinuko kwenye khanga ya Shaka na kuamini ngoma inogile, alichokitaka kimetimia.
Kwa vile naye mate ya uchu wa mnofu yalikuwa yakimtoka kama mwanamke mwenye mimba aliyeona maembe mabichi, aliuvuta upande wa khanga na kufanya mzinga wa kutungulia ndege kuwa wazi kama vazi la kahaba.
Betty aliidaka maiki na kuanza kuchana mistari na kumfanya Shaka asitulie alipokaa na kuwa kama kakalia mbigili kutokana na kushindwa kutulia sehemu moja.
Betty hakumuachia mpaka yai lilipompasukia mdomoni na kuhakikisha hakipotei kitu wala kumchafua. Alifanya usafi kisha alimuomba Shaka naye ampashe moto.
“Shaka jamani niandae na mimi.”
Lakini kwa Shaka kwake kilikuwa kitu kigeni kwa vile alizoea kudandia baiskeli na kupiga pedeli. Alijikuta akishindwa afanye nini kitu kilichomshtua Betty.
“Shaka jamani mbona umetulia, nishike na mimi basi.”
“Wapi mpenzi?” Shaka kwake yalikuwa mashikolo mageni ‘mambo mageni.’
“Ni..ni..shike hu..hu..kuu,” Betty alisema kwa shida baada stimu ya mahajamu kumpanda huku akiushika mkono wa Shaka na kuupeleka eneo la tukio. Shaka alishika asijue afanye nini.
“Shaka jamani fanya hivi kama unamenya karanga.”
Shaka alianza zoezi kwa nguvu kitu kilichomfanya Betty asikie maumivu na kulalamika.
“Shaka taratibu jamani.”
Shaka alikwenda taratibu bado Betty alisikia maumivu kwa mbali na kugundua mikono ya Shaka ilikuwa mikavu. Alichukua mafuta na kumpaka mkononi na zoezi liliendelea.
Japokuwa alikuwa mgeni lakini zoezi hilo alilifanya vizuri sana kiasi cha kumliza Betty kilio kisicho na msiba. Ngoma ikawa droo kila mmoja kudondosha nazi ya mdondo inayoanguka kwa upepo.
Baada ya mchicha kukolea nazi mtanange ulianza kwa Shaka kuukwea mnazi kama mkwezi aliyevamia shamba la watu. Kutokana na kutokuwa mzoefu, alijikuta akipapalika kama mtu aliyeangukia majini akiwa hajui kuogelea na kutaka kujiokoa kwa kutumia nguvu nyingi.
“Jamani Shaka haraka ya nini?”
“Mpenzi nifanyeje?”
“Taratibu unakimbilia nini, nimekwambia umalize uondoke?”
“Hapana.”
“Basi acha papara.”
“Kwani tatizo nini mpenzi?”
“Hizi ni zako zabibu kula taratiiiibu.”
Shaka kila alipoipunguza kasi ilimshinda na kujikuta akikanyaga mafuta hasa alipokuwa akiitafuta kumi na nane. Kasi ile ilimfanya Betty aende wavuni mara mbili mfululizo.
Kila alipokaribia kuiona pwani alipiga kelele zilizomtia kichaa Shaka.
“Ha..ha..ki ya nani Sha..shaka unaweza ..u..unaweza, safi Shaka usitoe pasi ingia nayo ukitoa pasi utaniudhi ingia Shaka ingia goli ha..ha..halipo mmmba mmmh..aaaah...mamaaa.”
Shaka alijikuta akipigwa na butwaa baada ya kumuona Betty akijipinda na kumbana kwa nguvu kifuani kwa muda kisha alimwachia na kumfanya ahisi joto tamu lililomuongezea msisimko na kuendelea kugawa dozi.
Betty alishangazwa Shaka kuendelea na kujiuliza ina maana muda wote dogo hajafika safari yake? Baada ya kwenda wavuni kwa mara ya nne bado moto wa Shaka ulikuwa palepale.
Mmh! Shaka alikuwa kama mtoto aliyeukosa ubwabwa kwa muda mrefu aliyewekwa kwenye sinia kubwa la ubwabwa ambaye hanyanyuki mpaka anyanyuliwe.
“Shaka jamani bado tu?” Betty aliuliza baada ya kujiona pumzi zimeanza kukata.
“Kwani wewe tayari?”
“Mi zaidi ya mara nne.”
“Hata mi tayari.”
“Mara ngapi?”
“Mbili.”
“Mmh! Mbona sijaona kushusha mzigo?”
“Kelele zako zilinichanganya, kila uliponiambia Shaka usitoe pasi ingia nayo basi nilikuwa najiona uwanjani nipo peke yangu na kuingia nayo na kila nilipoingia kelele zako zilinichanganya kabisa.”
“Mmh! Japo una staili moja kama njia ya treni lakini lazima nikiri una nguvu kama nyati.”
“Mpaka naomba kuvaa kiatu chako niliamini mguu wangu unatosha.”
“Shaka kuna vitu nikikuongezea utatisha, unaonekana damu bado inachemka ukimshika mwanamke lazima akutaje jina lako.”
“Kwa hiyo umetosheka?”
“Mmh! Leo sitaki tena nipo hoi nikilala sijui nitaamka saa ngapi?”
“Kwa hiyo mpenzi naweza?”
“Unatisha Shaka, nimeinjoi ile mbaya, kumbe nilitaka kumfukuza nyuki asali hii tamu ningeipata wapi?”
ITAENDELEA SIKU YA KESHO
ENDELEA KULIKE www.facebook.com/2jiachie
“Sawa mpenzi.”
“Na nguo zako zivulie hapahapa.”
“Aah! Mchumba acha nikavulie bafuni.”
“Unamuogopa nani wakati tupo wawili tu mpenzi?”
SONGA NAYO HAPA
Shaka ilibidi awe mpole, alivulia palepale huku kitu kikiwa hewani kama antena ya king’amuzi. Jicho la Betty lilitua kwenye mkonga wa tembo na kujikuta akisisimkwa na mate ya uchu yalimtoka, akajikuta akiisifia kimoyomoyo akishangaa kijana mdogo kuwa na bakora mujarabu.
Aliishika na kumfanya Shaka aruke nyuma na kusema:
“Kweli mambo yako dijitali, naona king’amuzi kinaonesha bila chenga mbona leo nitafaidi mtoto wa kike.”
Alimshika mkono na kuongozana naye, wakati huo mkono wa Shaka haukucheza mbali na kambi ya jeshi ili kumtuliza. Baada ya kumwacha bafuni alitoka mara moja.
Baada ya muda Betty alirudi, alipofika mlangoni alisukuma mlango na kumfanya Shaka atoe sauti.
“Mchumba bado naoga.”
“Tatizo nini?” Betty alisema huku akiingia bafuni bila kitu mwilini.
Shaka alipofumbua macho alishtuka kuuuona mwili wa Betty bila kitu kwa mara ya kwanza. Hakutegemea kumuona Betty kuwa vile siku ile, alitegemea kuuona siku ya kuua tembo kwa ubua.
Mshtuko alioupata ulisababisha mnazi kuanguka chini, Betty alioga pamoja na Shaka. Baada ya kuoga alimfuta maji kisha alimshika mkono na kumpeleka chumbani kwake ambako Shaka katika siku zote alizowahi kufika pale hakuwahi kuingia chumbani kwa Betty.
Shaka alishtuka kuona akiingizwa chumbani na kukuta kitanda kimetandikwa vizuri, kilikuwa chumba cha thamani ambacho hakuwahi kuingia. Betty alimkalisha kitandani na kushangaa kuuona mnazi wa Shaka umelala.
“Vipi mpenzi mbona mnazi umelala?”
“Hata sijui!”
Alimwacha na kwenda kuchukua mafuta ya masaji na kuacha sehemu ya ‘plate number’ za nyuma ikisomeka kwa usahihi. Shaka pamoja na uchu bado hakuamini kama ile ndiyo siku waliyokubaliana.
Yeye alijua makubaliano ni mwisho wa wiki na kwenye nyumba ya wageni. Muda wote alikuwa kama yupo ndotoni na mshtuko aliopata ulisababisha mnazi kulala na kupoteza kujiamini kabisa.
Muda wote aliangalia chini kama mwari aliyekuwa akisubiri kufichuliwa. Moyo ulimuuma kuona anapoteza kujiamini siku ya ahadi.
Betty baada ya kuchukua mafuta mepesi alimlaza kifudifudi na kuanza kumchua taratibu kiungo kimoja kimoja. Wakati akijua anamuandaa mwenzake, Shaka alikuwa mbali na kujiuliza mbona hakumtaarifu mapema ajiandae kuliko kumshtukiza vile.
Baada ya kumaliza kumchua mgongoni alimgeuza na kuanza kumchua mbele. Lakini alishtuka kuona mnazi umeendelea kulala. Alipojaribu kuushtua bado ulikuwa umelala dolo.
Alijaribu kuuchua mnazi ili usimame aweze kuyafaidi madafu ya mnazi mchanga ulionekana una madafu matamu lakini alijikuta akitumia muda mwingi bila mafanikio huku jasho la uchu likimtoka. Alijikuta akijipaka upupu bila mkunaji.
“Shaka vipi?” ilibidi amuulize baada ya kuona hakuna dalili zozote za mnazi kunyanyuka, mtalimbo ulikuwa umelala dolo.
“Hata mi nashangaa,” Shaka alijibu huku aibu ikiwa imemtawala.
“Unashangaa nini, unajijua una matatizo umenitaka ili iweje? Leo hii nipo kwetu ingekuwa nyumba ya wageni gharama zangu ungezilipa?”
“Samahani mchumba, mwanzo ulikuwa na nguvu nashangaa umelala ghafla.”
“Una mpenzi?” Betty alimuuliza huku akimtazama kwa hasira.
Shaka kwa kuhofia kuonekana malaya alikataa.
“Sina.”
“Hujawahi kuwa na mwanamke?” alimuuliza akiwa amemkazia macho.
“Ndi...ndii...yooo.”
“Sasa kama hujawahi kuwa na mwanamke uliwezaje kunitongoza, ikiwa wanuka mikojo wenzio umewashindwa?” Betty alisema kwa hasira huku ameishikilia bakora mkononi iliyokuwa imetulia kama haijui muda ule ilitakiwa ifanye nini.
“Nilikuwa naye nikaachana naye.”
“Shaka kweli ulishawahi kufanya mapenzi na mwanamke?” Betty alimuuliza huku akifuta jasho kwa kiganja cha mkono lililokuwa likimvuja.
“Ndiyo.”
“Huna matatizo?”
“Sina mwenyewe si uliona wakati nakwenda bafuni mpaka ukashtuka, nashangaa mnyama kaanguka ghafla.”
“Ulipokuwa ukipanda juu ya mnazi ulikuwa ukiangusha nazi ngapi?”
“Kidogo tatu.”
“Nyingi?”
“Mpaka saba.”
“Sasa mbona mnazi umelala bila kuangusha hata nazi moja?”
“Lakini mchumba kwani ahadi yetu ilikuwa leo?” Shaka aliuliza swali la kitoto.
“Shaka acha akili za kitoto na ukitoka hapa bila kuzitoa hamu zangu tusijuane na unikome tena unione kama muuza bangi na polisi.”
“Lakini mchu...”
“Lakini nini? Hebu ona kisima kimejaa maji mpaka yanamwagika,” Betty alisema huku akionesha mchirizi uliokuwa unataka kuteremka chini.
“Yaani mwenyewe najishangaa kweli mkamia maji.”
“Maji ya mama yako, ngoja nije.”
Betty alisema huku akitoka chumbani na kumwacha Shaka akijishangaa kupoteza mdomo siku ya sherehe aliyoipania muda mrefu. Alijiuliza tatizo nini ikiwa siku zote alijiamini ni mwanaume shababi aliyekuwa akiwaliza wasichana mtaani kiasi cha kumpigania kama mpira wa kona.
Aliamini usemi mkamia maji hayanywi lakini kwa upande mwingine aliona kama siku aliyotembea uchi ndiyo aliyokutana na mama mkwe wake. Akiwa katikati ya sintofahamu, Betty alirudi chumbani na nguo za Shaka mkononi.
“We paka vaa nguo zako na uondoke zako mara moja,” Betty alisema huku akimtupia Shaka nguo zake.
“Samahani mchumba..”
“Koma kuniita mchumba mwanamke mwenye umbile la kiume wee.”
Shaka alijikuta akijuta siku ile kwenda kwa Betty na kuona heri angekwenda siku ya pili kuliko aibu kama ile kumkuta na kupoteza kitu alichokihangaikia kwa muda mrefu.
Alijikuta ameganda kama sanamu na kushindwa kufanya kitu chochote, hata nguo hakuziokota, aliona kazi.
Betty baada ya kuona anamchelewesha aliokota nguo zake na kumshika mkono na kumvuta nje huku akimtukana.
“Maji huyawezi kiherehere, haya nenda umeishaniona mwili wangu inatosha kawahadithie wenzako.”
“Hapana mchumba nipe nafasi nyingine basi hata mi sijielewi,” Shaka alijitetea.
“Utajielewa nyumbani kwenu, kwa vile hutaki kuvaa nguo zako utavalia kwenu nguchiro mtoto wee, mbona najuta kujidhalilisha kwa vitoto!”
Alipomfikisha sebuleni alimwacha na kufuata baadhi ya nguo zake alizoziacha chumbani ili amtoe nje. Alipoingia chumbani wakati anaokota nguo za Shaka alikumbuka kitu na kumfanya asimame na kuweka kidole mdomoni.
“Mmh! Lazima itakuwa vile tu.”
Betty alikumbuka siku ya kwanza kukutana na mpenzi wake wa sasa, siku ya kwanza baada ya kuingia chumbani na kuvua nguo jamaa alichanganyikiwa na kupoteza kujiamini kitu kilichosababisha mnazi kulala chini.
Ilimchukua zaidi ya saa tatu kumrudisha mchezoni. Aliamini hata Shaka yalimkuta yaleyale kwa vile hakuwahi kukutana na mwanamke mwenye umbile tamu kama lake lililokuwa na kila sababu ya kumtia wazimu mwanaume.
Siku zote umbile lake lilitakiwa lionwe na wanaume wazoefu na mbuga kwani wageni wakimuona bunduki iliwaponyoka na kutimua mbio.
Alijikuta akikaa kitandani na kujiinamia kwa muda kisha alinyanyuka na kutoka chumbani taratibu. Alipofika sebuleni alimkuta Shaka amejiinamia akilia, kitu kilichomfanya ajisikie uchungu sana.
Alimfuata pale chini na kumnyanyua na kumwita jina lake kwa sauti ya chini.
“Shaka.”
“Na..naam,” Shaka alijibu kwa sauti ya kilio.
“Nyamaza basi mchumba.”
Betty alimnyamazisha huku akimvutia kwake na kumkumbatia kitu kilichomfanya Shaka asisimkwe mwili na kujikuta akirudiwa na nguvu za ajabu.
Wakiwa wamekumbatiana, Betty alishtuka kuguswa na kitu kwa chini alipotupa macho alishtuka kukuta mnazi umenyanyuka.
Hakusema kitu, alimshika mkono Shaka mpaka chumbani, hakutaka kupoteza muda, aliamua kujihudumia mwenyewe kupunguza njaa aliyokuwa nayo.
Aliudandia mnazi na kujikuta akiukwea kwa pupa, kutokana na kuwa na kiu kikali cha dafu hakufika mbali alipiga kelele kuonesha amepasua dafu. Baada ya kupunguza mwasho mchezo ulianza rasmi huku Betty akitoa onyo kwa sauti ya ashki.
“Shaka sikukuita umekuja mwenyewe nataka kilichokufanya unitafute kwa miaka sita leo nikione.”
“Sawa.”
Shaka alijiapiza baada ya kuponea tundu la sindano kifukuzwa na Betty kufia kifuani kuhakikisha naye anabakia katika kumbukumbu zake. Akitumia mtindo wa kizamani wa 4 – 2 – 4 alimsaidia kumpeleka puta Betty ambaye alijikuta akiuona ugumu wa mechi na kujua sababu ya Shaka kutaka gemu na yeye.
Mpaka wanakwenda mapumziko, Shaka alikuwa hoi kutokana na kutumia nguvu nyingi akitaka kujitoa kimasomaso. Baada ya mchezo uliotumia zaidi ya saa moja, Shaka alianza kuona kizunguzungu na kuhema kwa mbali, kitu kilichomshtua Betty.
“Shaka.”
“Mmh!”
“Nini?”
“Tumbo.”
”Hukula?”
“Ndiyo.”
“Mungu wangu nimemuua mtoto wa watu.”
Kwa haraka alikimbilia maziwa fresh kwenye friji na kuanza kumnywesha kama mtoto huku mwili wa Shaka ukiwa hauna nguvu kabisa.
Baada ya kumpa maziwa na kurudiwa na nguvu kidogo alikwenda kumwagia maji na kurudi naye ndani.
Alimpatia chakula ambacho alikila chote kutokana na njaa kali aliyokuwa nayo. Aliposhiba aliomba kwenda kulala.
“Betty naomba nikalale, nina usingizi.”
“Utafika?” Betty alimuuliza baada ya kuwa na wasiwasi naye.
“Nitafika tu.”
“Hapana, kwa hali hii lazima utaulizwa nini kimekusibu, utajibu nini?”
“Hawawezi, kwanza sasa hivi wamelala,” Shaka alijibu kama mlevi.
Alipojaribu kutembea aliyumba kuonesha hawezi kufika kwao bila msaada, Betty alijiuliza kama atamfikisha kwao atawaeleza nini wazazi wake? Alipata wazo la kwenda nyumbani kwa akina Shaka kumuombea ruhusa kulala kwake kwa vile yupo peke yake.
“Shaka itabidi ulale hapa.”
“Hakuna tatizo mchumba, sio siri leo nimefurahi ile mbaya,” shaka alisema kwa sauti ya kilevi kuonesha amechoka sana kwa kalinyekalinye la saa mbili bila kupumzika, bandika bandua kwa Betty kuogopa aibu ya kuaibishwa na mtoto mdogo na Shaka kutaka kujionesha sababu ya yeye kuomba utamu wa mtu mzima.
Betty naye alichoka lakini Shaka alikuwa hoi zaidi kwa vile ndiyo ilikuwa siku yake ya kwanza kukutana na kalinyekalinye la mgambo wa jiji na kumfanya atepete mtoto wa kiume.
Kwa vile kwao hawakuwa na taarifa, Betty aliamini asingelala na Shaka bila kwao kujua. Pamoja na kuchoka alioga haraka na kwenda nyumbani kwa akina Shaka kumuombea ruhusa ya kulala kwake.
Muda ulikuwa umekwenda, alikuta tayari wameishaingia ndani kulala. Aligonga mlango na kutoka baba yake Shaka, mzee Zulu.
“Ooh! Karibu mama.”
“Asante baba, shikamoo.”
“Marahaba, ndiyo mama mbona usiku, naona umemfuata mchumba wako?”
“Hapana baba.”
“Mmh! Mama una shida gani?”
“Nimekuja kumuombea ruhusa mchumba wangu.”
“Ruhusa ya nini mama?”
“Leo nipo peke yangu nyumbani nilikuwa naomba Shaka nilale naye naogopa kulala peke yangu.”
“Mmh! Kulala naye kivipi?”
“Jamani baba hakuna maana nyingine zaidi ya kila mtu kulala chumbani kwake.”
“Haya mama, muamshe chumbani kwake japo mpaka naingia ndani sijamuona.”
“Yupo nyumbani kwetu.”
“Basi mama ruksa, najua palipo na wawili hapaharibiki kitu.”
“Baba hakuna kitu kingine, Shaka ni mdogo wangu.”
“Mama yangu mbona una wasiwasi sina maana mbaya.”
“Sawa baba, wacha niwahi.”
“Hakuna tatizo usiku mwema.”
“Na ninyi pia.”
Betty aligeuza na kurudi nyumbani, alipofika alimkuta Shaka amelala kwenye kochi akionekana yupo hoi. Alimuamsha na kumhamishia chumbani na kumlaza kitandani. Betty alimtazama Shaka na kumuonea huruma kwani alikuwa amechoka sana kiasi cha kujilaza kama mtu aliyeokolewa kwenye maji.
“Mmh! Ningeua mtoto wa watu bure.”
Alisema huku akiondoa nguo za Shaka na kuziweka pembeni kisha na yeye alitoa zake na kujilaza pembeni yake. Kutokana na uchovu naye usingizi ulimchukua.
Shaka aliamka siku ya pili, mwili ukiwa mchovu kama alikuwa akitwanga chuma. Hata alipooga na kupata kifungua kinywa cha nguvu kilichoandaliwa na Betty bado mwili ulikuwa mchovu na kumfanya ashinde siku ile amelala kama mgonjwa.
Betty alimuonea huruma Shaka ambaye alionekana amechoka muda wote. Kwa vile hamu zake hazikufikishwa, bado alitaka kupata la kuzimua ili akae sawa, kwani bila vile hali yake ingekuwa mbaya.
Alijiuliza atawezaje kumrudisha Shaka mchezoni ili aweze kukidhi haja zake. Japokuwa Shaka alikuwa kijana mdogo lakini aliweza kumkabili barabara na kutojutia kumvulia nguo ya ndani.
Alikumbuka kinywaji cha Red Bull humrudisha mtu mchezoni, alijifunga upande wa kanga na kitenge kwa juu, akaenda kununua Red Bull kwenye duka la Mchaga lililokuwa jirani.
Alikwenda mpaka dukani na kununua Red Bull sita na kurudi nazo ndani. Alimkuta Shaka bado amejilaza kitandani japo hakuwa amepitiwa na usingizi.
“Vipi mpenzi?” Betty alimuuliza Shaka huku akizipunguza nguo mwilini.
“Poa tu mchumba,” Shaka alijibu huku akimtupia jicho Betty.
“Shaka napenda uniite mpenzi.”
“Sawa mpenzi.”
“Vipi unajisikiaje?” alimuuliza huku akimlegezea macho na sauti.
“Mmh! Kama sijalala wiki nzima kwa jinsi nilivyochoka.”
“Basi amka unywe hii.”
“Mpenzi sijawahi kunywa pombe.”
“Siyo pombe ni kinywaji cha kukufanya uchangamke na kuufanya mwili wako uwe na nguvu.”
“Siyo pombe?”
“Siyo ni kinywaji kizuri ukinywa tu utauona mwili una nguvu kama mwanzo.”
Shaka alikaa kitako na kuchukua kopo la Red Bull lililokuwa limeshafunguliwa tayari na kunywa taratibu. Wakati huo Betty alikuwa akiondoa nguo ya ndani mbele yake na kisha kujifunga mtandio mwepesi uliomfanya aonekane kama hajavaa nguo na kwenda kukaa pembeni ya Shaka aliyekuwa yupo kwenye vazi la upande wa khanga.
Wakati Shaka akinywa Red Bull, Betty alikuwa akimpapasa taratibu na kulitengeneza joto la hamu lisiloisha utamu. Taratibu Shaka alijihisi kutoka jasho huku hamu zikimpanda taratibu kama sumu ya nyoka.
Kwa vile Shaka alikuwa amejifunga upande wa khanga, Betty alishuhudia mwinuko kwenye khanga ya Shaka na kuamini ngoma inogile, alichokitaka kimetimia.
Kwa vile naye mate ya uchu wa mnofu yalikuwa yakimtoka kama mwanamke mwenye mimba aliyeona maembe mabichi, aliuvuta upande wa khanga na kufanya mzinga wa kutungulia ndege kuwa wazi kama vazi la kahaba.
Betty aliidaka maiki na kuanza kuchana mistari na kumfanya Shaka asitulie alipokaa na kuwa kama kakalia mbigili kutokana na kushindwa kutulia sehemu moja.
Betty hakumuachia mpaka yai lilipompasukia mdomoni na kuhakikisha hakipotei kitu wala kumchafua. Alifanya usafi kisha alimuomba Shaka naye ampashe moto.
“Shaka jamani niandae na mimi.”
Lakini kwa Shaka kwake kilikuwa kitu kigeni kwa vile alizoea kudandia baiskeli na kupiga pedeli. Alijikuta akishindwa afanye nini kitu kilichomshtua Betty.
“Shaka jamani mbona umetulia, nishike na mimi basi.”
“Wapi mpenzi?” Shaka kwake yalikuwa mashikolo mageni ‘mambo mageni.’
“Ni..ni..shike hu..hu..kuu,” Betty alisema kwa shida baada stimu ya mahajamu kumpanda huku akiushika mkono wa Shaka na kuupeleka eneo la tukio. Shaka alishika asijue afanye nini.
“Shaka jamani fanya hivi kama unamenya karanga.”
Shaka alianza zoezi kwa nguvu kitu kilichomfanya Betty asikie maumivu na kulalamika.
“Shaka taratibu jamani.”
Shaka alikwenda taratibu bado Betty alisikia maumivu kwa mbali na kugundua mikono ya Shaka ilikuwa mikavu. Alichukua mafuta na kumpaka mkononi na zoezi liliendelea.
Japokuwa alikuwa mgeni lakini zoezi hilo alilifanya vizuri sana kiasi cha kumliza Betty kilio kisicho na msiba. Ngoma ikawa droo kila mmoja kudondosha nazi ya mdondo inayoanguka kwa upepo.
Baada ya mchicha kukolea nazi mtanange ulianza kwa Shaka kuukwea mnazi kama mkwezi aliyevamia shamba la watu. Kutokana na kutokuwa mzoefu, alijikuta akipapalika kama mtu aliyeangukia majini akiwa hajui kuogelea na kutaka kujiokoa kwa kutumia nguvu nyingi.
“Jamani Shaka haraka ya nini?”
“Mpenzi nifanyeje?”
“Taratibu unakimbilia nini, nimekwambia umalize uondoke?”
“Hapana.”
“Basi acha papara.”
“Kwani tatizo nini mpenzi?”
“Hizi ni zako zabibu kula taratiiiibu.”
Shaka kila alipoipunguza kasi ilimshinda na kujikuta akikanyaga mafuta hasa alipokuwa akiitafuta kumi na nane. Kasi ile ilimfanya Betty aende wavuni mara mbili mfululizo.
Kila alipokaribia kuiona pwani alipiga kelele zilizomtia kichaa Shaka.
“Ha..ha..ki ya nani Sha..shaka unaweza ..u..unaweza, safi Shaka usitoe pasi ingia nayo ukitoa pasi utaniudhi ingia Shaka ingia goli ha..ha..halipo mmmba mmmh..aaaah...mamaaa.”
Shaka alijikuta akipigwa na butwaa baada ya kumuona Betty akijipinda na kumbana kwa nguvu kifuani kwa muda kisha alimwachia na kumfanya ahisi joto tamu lililomuongezea msisimko na kuendelea kugawa dozi.
Betty alishangazwa Shaka kuendelea na kujiuliza ina maana muda wote dogo hajafika safari yake? Baada ya kwenda wavuni kwa mara ya nne bado moto wa Shaka ulikuwa palepale.
Mmh! Shaka alikuwa kama mtoto aliyeukosa ubwabwa kwa muda mrefu aliyewekwa kwenye sinia kubwa la ubwabwa ambaye hanyanyuki mpaka anyanyuliwe.
“Shaka jamani bado tu?” Betty aliuliza baada ya kujiona pumzi zimeanza kukata.
“Kwani wewe tayari?”
“Mi zaidi ya mara nne.”
“Hata mi tayari.”
“Mara ngapi?”
“Mbili.”
“Mmh! Mbona sijaona kushusha mzigo?”
“Kelele zako zilinichanganya, kila uliponiambia Shaka usitoe pasi ingia nayo basi nilikuwa najiona uwanjani nipo peke yangu na kuingia nayo na kila nilipoingia kelele zako zilinichanganya kabisa.”
“Mmh! Japo una staili moja kama njia ya treni lakini lazima nikiri una nguvu kama nyati.”
“Mpaka naomba kuvaa kiatu chako niliamini mguu wangu unatosha.”
“Shaka kuna vitu nikikuongezea utatisha, unaonekana damu bado inachemka ukimshika mwanamke lazima akutaje jina lako.”
“Kwa hiyo umetosheka?”
“Mmh! Leo sitaki tena nipo hoi nikilala sijui nitaamka saa ngapi?”
“Kwa hiyo mpenzi naweza?”
“Unatisha Shaka, nimeinjoi ile mbaya, kumbe nilitaka kumfukuza nyuki asali hii tamu ningeipata wapi?”
ITAENDELEA SIKU YA KESHO
ENDELEA KULIKE www.facebook.com/2jiachie

Post a Comment