ad

ad

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YA MKOA WA MOROGORO, AFANYA MAJUMUISHO


Rais Kikwete akiongoza kikao cha majumuisho baada ya kutembekea Mkoa wa Morogoro.
 
Rais Kikwete akiongea kwenye kikao hicho. Kulia ni Mbunge wa Mvomero na Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akifuatiwa na Mbunge wa Morogoro kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo Mh Innocent Kalogeris.
 
Watendaji wa kada mbalimbali wa mkoa wa Morogoro katika kikao hicho cha majumuisho.
 
Sehemu ya Wabunge wa mkoa wa Morogoro kwenye kikao hicho
 
Wabunge wa mkoa wa Morogoro kikaoni hapo
 
Watendaji wa mkoa wa Morogoro wakiwa kikaoni
 
Mmoja wa wajumbe wa kikao akielezea jambo
 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera akimshukuru Rais Kikwete kwa kufanya ziara mkoani mwake
 
Mkuu wa Mkoa wa Mororogo akielezwa jambo na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mhe  Eliya Ntandu
 
Rais Kikwete akimsikiliza Mbunge wa Mvomero Mhe. Amos Makalla wakati wa kikao hicho. Katikati ni Mbunge wa Morogoro kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo Mh Innocent Kalogeris
 
Rais Kikwete akiongea na  Mbunge wa Mvomero Mhe. Amos Makalla
 
Rais Kikwete akitoka nje ya ukumbi baada ya kuhitimisha kikao cha majumuisho
 
Rais Kikwete akiagana na Mbunge wa Mvomero Mhe. Amos Makalla

No comments

Powered by Blogger.