ad

ad

MZIWANDA: SHILOLE AMENIPA MWANGA KATIKA MAPENZI

STAA wa Bongo Fleva, Nuh Naftari Mlawa ‘Nuh’ amefunguka ya moyoni kuhusiana na kipaji chake na kusema kuwa ‘sexy lady’ wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ndiye aliyempa mwanga kunako gemu ya Bongo Fleva.

 
Nuhu Mziwanda akipozi na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D'.
Akikisanua kupitia Global TV Online juzikati, Mziwanda alimshukuru Shilole na kuongeza pia kujichora kwake mchoro mkononi wenye jina la bidada huyo ni kuweka historia kuwa alishawahi kutokea mtu wa muhimu maishani mwake.
“Zamani nilikuwa nafanya muziki lakini nyota yangu haikung’aa kihivyo, baada ya kumpata Shilole nyota zetu zikaonekana kuwa sawa hivyo nikang’aa japo mapenzi ndiyo yaliyotuunganisha,” alisema Mziwanda.

No comments

Powered by Blogger.