MSANII WA BONGO MOVIE APAGAWA NA YEMI ALADE
MUIGIZAJI wa filamu Bongo
Husna Idd ‘Sajenti’ juzi kati katika Tamasha la Matumaini alionekana
kupagawa na songi la mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Yemi Alade kiasi
ambacho hakujivunga kuserebuka naye.
“Dah! Sio siri huyu mwanamuziki amenijua
kuniamsha mashetani yangu, kile kitu cha Johny sio mchezo lazima
upagawe,” alisikika akisema Sajenti.
OFA OFA YA MAGARI PUNGUZO LA BEI KI-LICK TANGAZO CHINI

Post a Comment