MH! MISSED CALL YA SHEMEJI! - 04
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Wenzake miguu chini ya meza ilikuwa ikiwasiliana ile mbaya, miguu ya dada mtu ilipanda hadi karibu ya magoti ya Beka, naye akarudishia
ilikuwa kama wanacheza. Kitendo cha kufumba na kufumbua Aisha aliinamisha kichwa na kuchungulia chini. Dondoka nayo...
Wote walishtuka kwa kitendo cha Aisha kuchungulia chini, wakajibalaguza na kujifanya na wao wameshtuka kwa sababu yake…
“Vipi mwenzetu?” aliuliza Beka huku akimwangalia shemeji yake badala ya aliyekuwa akimuuliza.
“Hamna kitu, nimehisi naguswa na mguu wa mtu.”
“Utakuwa mguu wa nani?” aliuliza dada mtu huku akionesha kuhofia.
“Sijamjua.”
Kwa namna moja au nyingine, Aisha ni kama alishtuka. Alihisi kuna kilichokuwa kikiendelea kwenye miguu ya watu wawili hao.
“Au wanachezeana miguu nini?” alijiuliza Aisha.
Siku hiyo ilipita bila Beka na shemeji yake kukutana wala kutumiana meseji, ingawa kila mmoja alimtamani mwenzake kwamba wangekuwa pamoja.
Dada wa Aisha aliamini kule kufuatwa chumbani alfajiri ilikuwa sawa na kuonjeshwa nyama bila supu yake, alitamani kukutana na shemeji yake
huyo lakini nje ya nyumba hiyo ili aweze kufaidi nyama na supu yake moja kwa moja.
kwa upande mwingine, aliamini anatenda uovu mkubwa kwa kutembea na mume wa mdogo wake akasema moyoni…
“Lakini sasa nitafanyaje na mimi ni binadamu, natamani, napenda, nahisi na nataka kama yeye…
“Isitoshe mambo mengine anayasababisha mwenyewe Aisha, miaka ya sasa ni ya kumnyima unyumba mwanaume kweli? Maana mji kama huu wa Dar esSalaam kuna wanawake wa kila umbile, rangi, mwendo, mikogo. Unaweza kujikuta unampoteza hivihivi unaona.”
Siku ya tatu yake, Beka akiwa njiani kurejea nyumbani kwake alitumiwa meseji na shemeji yake…
“Jamani shemeji mbona kimya sana?”
“Mimi wewe shemeji?”
“Wewe bwana.”
“Wewe hapo bwana.”
“Tuyaache hayo, uko wapi muda huu?”
“Njiani.”
“Kwenda wapi?”
“Ndiyo nakuja.”
“Je, nikisema usije nyumbani ili tukutane mahali hukohuko, maana leo nimekukumbuka sana, utakubali?”
Ilikuwa kama bahati njema kwa Beka kwani hata yeye alisema moyoni kwamba lazima siku hiyo amalize kiu yake kwa shemeji yake huyo…
“Wewe tu, mimi niko sawa. Mdogo wako amerudi?”
“Bado.”
“Sasa utaondokaje?”
“Nitamtumia meseji.”
“Kwamba unakwenda wapi?”
“Kusuka.”
“Atakuelewa?”
“Juu yake bwana, kwani mi mtoto wake?”
“Basi njoo hadi mahali panaitwa Sakafuni Gesti.”
“Mh!Ndiyo wapi hapo?”
“Ukiwa unakwenda stendi. ulipokuja siku ile lazima ulipitia hapa.”
“Oke, nakuja. nikipotea nitakwambia. Chukua chumba kabisa. Siyo nifike hapo ning’aeng’ae macho tu.”
Dada mtu huyo alijiandaa kwa kuoga na kuvaa kwa mtoko ambapo alifunga mlango na funguo kuziweka chini ya kapeti mlangoni, akatimka huku
akiangalia kona zote kama Aisha atatokea na kuvuruga dili lake…
“Asije akatokea huyu fisadi wa mapenzi dili likafa bure,” alisema moyoni akikaribia barabarani.
Aisha alipofika nyumbani alishangaa sana kutokumkuta dada yake…
“Khaaa! Huyu atakuwa amekwenda wapi tena, mbona hatujaambiana sasa?” alijiuliza mwenyewe Aisha.
alimpigia simu mume wake ili kumwambia kituko hicho cha dada yake kuondoka bila kusema wakati si mwenyeji kwenye Jiji la Dar.
“Haya, mke mwenzio anapiga sasa,” alisema Beka akimwangalia shemeji yake.
“Pokea halafu weka loud speaker.’
“Haloo.”
“Baby maajabu ya mwaka nimeyakuta hapa home.”
“Yapi tena?”
“Shemeji yako kafunga mlango kaondoka.”
“Kaenda wapi?” alihoji Beka huku akimshikashika wowowo shemeji yake ndani ya chumba cha gesti huku akionekana hana wasiwasi wowote ule, ndiyo
muda wake wa kufaidi matunda mawili kutoka kwenye mti mmoja uliomea kwenye mbolea.
“Sijui, hata funguo sijui kaiweka wapi!”
“Au ameenda kijijini kwa kutoroka?” aliuliza Beka…
“Kisa cha kutoroka asiage kiwe nini? Wala hajaondoka, si ajabu yupo kwenye michepuko yake na nina wasiwasi ameachika kwa mumewe kwa sababu
hiyohiyo ya michepuko.”
“Inawezekana,”
Beka alishtukia ameporwa simu na shemeji yake, ikaanguka chini…
“Hawezi kunitukana namna hii, mimi nachepuka mimi? Mkeo amenikosea sana tena sana, aniombe radhi kabla jua halijazama,”
Beka aliogopa sana kwani aliamini kitendo cha kuporwa simu na kuanguka chini kisha shemeji mtu huyo kusema kitakuwa kimejulikana kwa mkewe,
Aisha…
“Khaa!” alishangaa Beka na kujikuta ameirukia lakini kumbe ilipoanguka ilitawanyika kava na betri.
“Khaa! Huyu vipi, kapata ajali au?” alijiuliza Aisha kule upande wa pili baada ya simu ya mumewe kukata ghafla na pia akawa hapatikani.
“Tena tumalize mambo yetu ndiyo uwashe hiyo simu yako,” alisema shemeji huyo akimwambia Beka aliyekuwa bado kwenye mshangao mkubwa.
“Tena umwambie mke wako kwamba ilikuwa nikuache siku mbili hizi na yeye ili afaidi lakini sasa sikuachii ng’oo mpaka ajute kuzaliwa na mimitumbo moja.”
“Yaishe baby, achana naye yule.”
Ili kumkomoa mdogo wake, shemeji huyo alisimama katikati ya chumba na kuvua nguo zake zote kisha akawa kama alivyozaliwa mbele ya shemeji
yake akijitingishatingisha, akapanda kitandani na kumvuta shemeji yake, Beka ili naye apande…
“Tena leo utainjoi sana kuliko kule chumbani. kila hatua nitakuwa nahakikisha inakuwa kisasi kwa mkeo, malaya mkubwa yule, anataka kucheza na
mimi mtoto wa mjini siyo.”
Je, nini kilitokea? Usikose kusoma kwenye Gazeti la Ijumaa Wikienda, Jumatatu ijayo.
“Shemeji usimtukane hivyo mdogo wako, hata mimi naumia sasa,” alisema Beka.
“Njoo bwana shemejim ndiyo mida yenyewe hii ya kujifaidi.”
Ni kweli dada mtu huyo aliamua kusaliti kikwelikweli kwani hata mapigo yenyewe kwa shemeji yake siku hiyo yalikuwa ya kushangaza, kuna wakati
alionesha dalili za kupanda kwenye ukuta.
Aisha alitaka kuingia ndani akampigia simu dada yake lakini haikupokelewa.
Tena leo utainjoi sana kuliko kule chumbani, kila hatua nitakuwa nahakikisha inakuwa kisasi kwa mkeo, malaya mkubwa yule, anataka kucheza na mimi mtoto wa mjini siyo?” dada wa Aisha alimwambia shemejiye.
Baada ya shemejiye kutoa maneno hayo, Beka alicheka na kumwambia aachane naye, wageukie kilichowaleta pale kwani kitendo cha kuvua nguo na kuliacha wazi umbo lake zuri kilimpagawisha sana!
“Najua ni jinsi gani unalihitaji joto shemeji yangu wa ukweli lakini mkeo kanikosea sana kuniambia nimeachika kwa mume wangu sababu ya michepuko, sasa nitamkomesha, yeye ataondoka nami nitakalia nyumba yake,” dada huyo alimwambia Beka.
Hakuishia hapo, alinyanyuka pale kitandani na kusimama sakafuni, alijishebedua kwa kuyaangalia makalio yake mapana, akayatingisha na kutembea hatua kadhaa za kimisi na kumgeukia shemeji yake na kumuuliza kama alikuwa analipa!
“Kwa kweli shemeji upo matawi ya juu, namshangaa mwenzangu kuamua kukuacha mtoto mzuri kama wewe…ngoja tunaojua vitamu tujilie vyetu,” Beka ambaye kila alipomtupia macho shemejiye alimeza funda la mate, alimwambia dada huyo wa mkewe.
“Hilo neno shemeji yangu…kwa kuwa leo umeamua kunileta hapa utafurahi na roho yako na utajilaumu kumuoa yule mjinga asiyejua maana ya mahaba!” dada mtu alimwambia shemejiye Beka.
Kwa kuwa Beka alikuwa ameketi juu ya ukingo wa kitanda, shemejiye huyo aliyepania kumfanyia mambo makubwa ya mahaba, alimfuata na kumkalia mapajani kwa staili ya kumwangalia usoni.
“Shemeji!” dada huyo alimwita Beka.
“Niambie mke wangu!” Beka alijibu.
“Nakupenda na nitaendelea kukupenda!” alimwambia shemeji yake huku akimtazama kwa macho yake makubwa yaliyolegea.
“Nami nakupenda shemeji yangu wa gharama!” Beka ambaye damu zilianza kumwenda mbio alimwambia shemejiye huyo aliyekuwa ameingiza mikono kifuani mwake na kuvichezea vinyweleo vyake.
Dada wa mkewe alipoona shemejiye ameanza kuchachawa, alisimama na kumwinua kisha akamvua shati, singlendi, suruali, boksa na kumalizia nguo ya mwisho kabisa.
Wawili hao wakiwa katika hali hiyo, walikumbatiana, wakagusana na kufinyana, kutekenyana kutumia midomo yao kufurahishana hadi wakaishiwa pumzi.
“Shemeji!” Beka alimwita shemejiye kwa sauti ya kukata.
“Niambie baba!” shemejiye alimjibu kwa sauti nyororo.
“Mama nimefikia hatua mbaya, nahitaji burudani ya mwisho!” Beka alimwambia.
Alipotoa kauli hiyo, shemeji yake alimvutia katika uwanja wa fundi seremala wakaanguka pamoja puuh! Shemejiye akawa chini na Beka akafuatia juu.
Kwa jinsi kila mmoja alivyokuwa akinyevuliwa na wadudu wasumbufu wa mapenzi, walijikuta wamekutanisha vinywa vyao wakaanza kudendeka.
Wawili hao waliokuwa kwenye mchepuko, wakiwa wanaendelea kufanya uchafu wao, Aisha mke wa Beka ambaye bado alikuwa ameketi nje kufuatia kutoiona funguo, alivimba kwa hasira na kusema:
“Hivi dada anadiriki kwenda kwenye michepuko yake na funguo? Tabia yake hiyo ndiyo imesababisha aachwe na mumewe nami siwezi kuvumilia upuuzi wake lazima nitamuondoa hapa nyumbani!”
Wakati Beka akijiandaa kuchomeka sime ndani ya ala, simu ya shemeji yake ikaanza kuita, licha ya kumwambia apokee, dada huyo wa mkewe alipuuza na kumwambia aachane nayo waendelee na mambo yao.
Kutokana na kelele za simu hiyo ya Kichina, Beka alinyoosha mkono na kuichukua juu ya meza ambayo ilikuwa pembeni ya kitanda na kuiangalia, akaona jina la mkewe.
“Mdogo wako huyo anakupigia, hebu zungumza naye,” Beka alimwambia shemejiye.
Licha ya kumweleza hivyo, shemejiye huyo alimwambia aachane naye mpuuzi huyo na kuongeza kuwa akipokea atawaharibia starehe yao, akaitupia walikoelekeza miguu yao wakaendelea na yao.
Mke wa Beka aliendelea kupiga simu lakini haikupokelewa, kitendo cha dada yake kutopokea simu kilimfanya aamini alikuwa gesti kwenye michepuko.
“Sikatai kufanya mambo yake kwa sababu yule ni mtu mzima ana hisia, tatizo kwa nini aondoke na funguo? Hivi mume wangu akifika nitamweleza nini?” Aisha ambaye hakujua kama dada yake na mumewe walikuwa wakifinyana na kupeana raha gesti alijisemea peke yake.
“Baby!” dada wa Aisha ambaye tayari alipasua madafu mawili kwa staili ya kuunganisha alimwita Beka.
“Nipo mama unasemaje?” Beka alimwambia.
“Kumbe mambo unayaweza sema pale nyumbani nafasi ilitubana kujiachia,” shemeji mtu alimwambia.
“Nawe unayaweza mama, najuta kumfahamu mdogo wako kabla yako, wewe ndiyo ulipaswa uwe mke wangu, unipikie, unifulie, uniogeshe na unifanyie mambo mazuri kama haya kila ninapohitaji,” Beka alimwambia shemeji, wakacheka.
“Mimi naona hujaamua tu kufanya hivyo…hata leo ukitaka kumuacha yule chakubimbi wako unaweza…tena ukimuacha nitafurahi sana,” shemeji yake alimwambia Beka.
ITAENDELEA SIKU YA KESHO


Post a Comment