ad

ad

KANISA LA KAKOBE LATIMIZA MIAKA 25, WASHEREKEA SIKU YA LEO


Waaumini toka sehemu mbalimba ya nchi ya Tanzania wakiwa katika maandamano maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kushoto ni askari polisi akiangalia usalama.
 

Askofu Kakobe akitembea kwa miguu pamoja na waumini wa sehemu mbalimbali ya Tanzania.


Askofu Mkuu Zakary Kakobe pamoja na maaskofu wa mbalimbali wa kanisa hilo wakipiga makofi  baada ya kuingia maeneo ya kanisani.
 Waumini wa kanisa la Full Gosple Bible Fellowship wakiwa katika maandamano.

 Waumini wakiwa katika eneo la kanisa.
 Waumini wakiwa katika maandamano.

KANISA la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) linaloongozwa na Askofu Mkuu, Zachary Kakobe limesherekea 25 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1989 leo kwa maandamano.

Sherehe hizo zilihudhuriwa na waumini  zaidi ya 5,000 kutoka mikoa na wilaya mbalimbali za Tanzania na  maandamano hayo yalianzia Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mpaka makao makuu ya kanisa hilo Barabara ya Sam Nujoma.

PICHA NA 2JIACHIE, DAR

No comments

Powered by Blogger.