MSHAMBULIAJI MPYA WA YANGA RAIA WA BRAZIL ATUA DAR
Jaja anatarajia
kumalizia mazungumzo na kesho atasaini mkataba na Yanga.
Mshambuliaji huyo
ametua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kupokelewa na
Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto.

Post a Comment