MTANZANIA WA KWANZA KUDHIBITISHWA KUWA MMILIKI HALILA WA FACEBOOK ACCOUNT HUYU HAPA
Flaviana Matata amekua mwakilishi mzuri
wa Tanzania kwenye
nchi mbalimbali alizofanya kazi kama Ufaransa, Hispania na
Marekani ambako anaishi sasa hivi New York.
Flaviana amethibitishwa rasmi na facebook kwamba hiyo account
yenye hicho kitiki hapo juu ndio account yake pekee na
halali hivyo ule utapeli ambao ulikua unafanywa kwa kutumia account
nyingine feki za Flaviana utaishia hapa.
nchi mbalimbali alizofanya kazi kama Ufaransa, Hispania na
Marekani ambako anaishi sasa hivi New York.
Flaviana amethibitishwa rasmi na facebook kwamba hiyo account
yenye hicho kitiki hapo juu ndio account yake pekee na
halali hivyo ule utapeli ambao ulikua unafanywa kwa kutumia account
nyingine feki za Flaviana utaishia hapa.
Flaviana anakua Mtanzania wa kwanza ninaemfahamu kuwa verified
na facebook ambapo tayari kwenye account yake ya twitter yuko
verified pia ambapo Watanzania wengine ambao wako verified
twitter ni President Jakaya, Hasheem, Ay, mawaziri January
Makamba na Lazaro Nyalandu

Post a Comment