LULU AWAJIBU WABAYA WAKE

Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa amejikita kupiga kazi ili kutunisha akaunti yake ya benki na kuwafanya wabaya wake waumbuke.
Akipiga stori mbili tatu na Bongowood, Lulu alisema anatambua wapo watu wengi wanaotaka aharibikiwe lakini dawa yao ni kufanya kazi kwa bidii.
“Waache wachonge weee, mi natunisha msuli kuhakikisha akaunti yangu benki inasoma mamilioni, watanielewa tu,” alisema.
Endelea ku-like page yetu hapa ===>www.facebook.com/2jiachie

Post a Comment