IRENE PAUL: TUMEBUMA KIMATAIFA
MAJANGA! Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul
amefunguka kuwa licha ya wasanii wa filamu kujitutumua lakini
wameshindwa kuvuka mipaka ya Kimataifa.
Akieleza masikitiko yake, Irene alimtaja Lupita:
“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema Irene.
“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema Irene.
Post a Comment