Ujumbe wa mwanadada Jacqueline Wolper iku hii ya leo ya Valentine
Leo ikiwa ni siku ile inayopendwa sana na wapenzi duniani - siku
ya Valentine, mwanadada Jacqueline Wolper ameamua kutoa ujumbe huu
ambao sisi tunaona unamuhusu kila mmoja, yule mwenye mpenzi na hata yule
aliye single kuhusu mahusiano.
Kupitia mtandao mmoja wa kijamii, mwanadada Wolper ameandika
“…Mapenzi magumu saana usipokua makini nakua mvumilivu kwa wanaume na wanawake itakua kila siku unabadilisha kama nguo..”
Happy valentines all...
Kupitia mtandao mmoja wa kijamii, mwanadada Wolper ameandika
“…Mapenzi magumu saana usipokua makini nakua mvumilivu kwa wanaume na wanawake itakua kila siku unabadilisha kama nguo..”
Happy valentines all...
Post a Comment