ad

ad

WASTARA: MTAMUONA MPENZI WANGU SOON

Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu hivi karibuni, Wastara alisema hayuko tayari kuona watu wakimsingizia kutoka na wanaume tofauti akiwemo Bon Bin Salim ambaye ni muigizaji mwenzake hivyo atamuweka wazi ‘mtu’ wake.
“Nachukia sana kuona watu wanafuatilia maisha yangu binafsi badala ya kazi, nitamuanika mpenzi wangu soon kuliko kueneza habari za uongo zinazohusu mapenzi, iwe ni Bond wanayemsema au mwingine,” alisema Wastara.
Powered by Blogger.