ad

ad

MSHINDI WA EBBS 2013 NI EMMANUEL MSUYA, AMEONDOKA NA MIL 50

Mshindi wa EBBS 2013 Emmanuel Msuya.

Washiriki walioingia Tatu Bora kutoka kushoto ni Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John.
Emmanuel Msuya akilia machozi ya furaha baada ya kuingia Tatu Bora.
Washiriki Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John wamefanikiwa kuingia Tatu Bora katika fainali za EBSS 2013 ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar muda huu. Wasanii walioaga mashindano ni Maina Thadei na Amina Chibaba.
PICHA ZOTE NA GPL
Powered by Blogger.