ad

ad

DAR LIVE ILIVYOWAKA MOTO JANA‏



Mwimbaji wa bendi ya Five Star Taarabu Ali Jay akikonga nyoyo za mashabiki waliofurika katika Tamasha  la muziki huo lililoandaliwa na Redio ya Times Fm   katika ukumbi wa Dar live Mbagala.
Mwimbaji wa bendi ya Five Star Taarab ,Aisha Mgonjela akiimba kwa hisia kali wakati wa Tamasha liliofanyika Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo liliandaliwa na Redio ya Times FM.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Redio Times Fm ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la muziki wa taarabu uliofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala hapo jana na kudhaminiwa.
Mkongwe wa muziki wa Taarab Malkia Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki wa muziki huo waliofurika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala  jijini Dar es Salaam,kwenye Tamasha maalumu lililoandaliwa na kituo cha Redio Times FM.
Powered by Blogger.