Klabu ya Simba SC leo imewasajili wachezaji
wawili ambao ni Awadh Issa kutoka Mtibwa Sugar na Ally Badru kutoka
Canal Suez ya Ligi Kuu ya Misri!
Mwenyekiti
wa Simba SC, Aden Rage (katikati) akiwa na wachezaji wapya Badru Ally
(kulia) na Awadh Juma (kushoto) baada ya kusaini kuichezea Simba leo.
Post a Comment