ad

ad

BREAKING NEWS: AFANDE SELE AJIUNGA RASMI CHADEMA

 Msanii wa Morogoro Afande Sele amejiunga rasmi Chadema kwa kukabidhiwa kadi na Powell Mfinanga wakati wa mkutano uliofanyika mkoani Moro!
  MWANAMUZIKI mkongwe wa Hip hop na Bongo Fleva kutoka mkoani Morogoro, ambaye pia ni mfalme wa Rymes, Selemani Msindi 'Afande Sele' muda mfupi uliopita amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kukabidhiwa kadi ya chama hicho na Powell Mfinanga wakati wa mkutano mkubwa uliofanyika katika kata ya Mafiga na Misufini mkoani Morogoro!
Mwanamuziki huyo toka zamani alikuwa na nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Morogoro kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 yamezekana ndiyo kaanza safari rasmi leo.

Powered by Blogger.