RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKEA KOMBE LA DUNIA JIJINI MWANZA, LEO NI DAR.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akilifunua Kombe la Dunia katika uwanja wa
michezo wa Kirumba jijini Mwanza jana jioni baada ya kulipokea Kombe hilo
lililotua nchini kwa mara ya pili, ambapo leo wananchi watapata fursa
ya kupia nalo picha.
Rais
Kikwete, akilinyanyua Kombe hilo kwa furaha baada ya kuzindua rasmi
shambra shambra za ujio wake nchini katika uwanja wa Kirumba jijini
Mwanza jana jioni.
rai
Kikwete, akifurahia hukua kiwa ameliinua Kombe hilo juu kuwaonyesha
wananchi waliojitokeza kwenye Uwanja wa Kirumba kulipokea. Wananchi wa
Jiji la dar es Salaam, leo watapata fursa ya kupiga picha na kombe
hilo katika Uwanja wa Taifa.



Post a Comment