ad

ad

MAN UNITED YAUA 4-2 ULAYA, ROONEY APIGA MBILI NA KUTIMIZA MABAO 200...NA VAN MABAO KAMA KAWA

KOCHA David Moyes ameonyesha nini alihitaji kucheza soka ya wazi, soka adimu Uwanja wa Old Trafford, ambayo matunda yake ni kushinda mabao mengi, 4-2 dhidi ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani katika mchezo wa kwanza wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa usiku huu.
Mchezo huo ulidhudhuriwa pia na kocha wa zamani wa United, Sir Alex Ferguson.

Man Utd: De Gea, Smalling, Ferdinand, Vidic, Evra, Valencia, Carrick, Fellaini (Cleverley 81), Kagawa (Young 71),Rooney (Hernandez 84), Van Persie.

Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Toprak, Boenisch, Can, Reinartz,Rolfes,Sam (Kruse 78),Kiessling (Derdiyok 78), Son (Bender 64).
PENGINE Manchester United wanajipongeza kwa kutomuuza Rooney kufuatia kiwango cha juu anachokionyesha.

Rooney amenga’ra katika mechi zote alizoichezea Manchester United msimuu chini ya kocha mpya David Moyes, lakini ametia fora zaidi katika mechi ya Jumanne usiku.
Hadi sasa, Moyes wakati wote amekuwa akijaribu kuwatumia pamoja Robin van Persie na Wayne Rooney pale mbele. Sasa wako upande wake na wanamfanyia kazi nzuri.
Van Persie amefunga moja ya mabao ya msimu, Rooney amefunga mawili na lingine Antonio Valencia katika ushindi ho na sasa wanaelekea kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao, Manchester City wakiwa wenye kujiamini.
Faraja kwa Rooney leo ametimiza mabao 200 ya kuifungia United, hivyo kuingia kwenye orodha ya magwiji wa klabu, Bobby Chartlon mabao 249, Dennis Law 237 na Jack Rowley 211.
Deadlock broken: Wayne Rooney (left) opens the scoring against Bayer Leverkusen at Old Trafford
Deadlock broken: Wayne Rooney (left) opens the scoring against Bayer Leverkusen at Old Trafford
Back of the net: Rooney's cushioned shot bounces up past Leverkusen keeper Bernd Leno
Back of the net: Rooney's cushioned shot bounces up past Leverkusen keeper Bernd Leno
Rooney celebrates
Rooney celebrates
Mobbed: Rooney celebrates with Chris Smalling and Michael Carrick after his opening goal
Mobbed: Rooney celebrates with Chris Smalling and Michael Carrick after his opening goal
It all started so well: Rooney goes around Leverkusen keeper Leno during the second half
It all started so well: Rooney goes around Leverkusen keeper Leno during the second half
... but Rooney misses the open goal and sends his shot well wide of the far post with Van Persie unmarked
... but Rooney misses the open goal and sends his shot well wide of the far post with Van Persie unmarked
What did I do? Rooney holds his head in his hands after his extraordinary miss
What did I do? Rooney holds his head in his hands after his extraordinary miss
Agony: David Moyes can't believe Rooney has missed, and neither can Sir Alex Ferguson (below) in the stands
Agony: David Moyes can't believe Rooney has missed, and neither can Sir Alex Ferguson (below) in the stands
Agony: David Moyes can't believe Rooney has missed, and neither can Sir Alex Ferguson (below) in the stands
Agony: David Moyes can't believe Rooney has missed, and neither can Sir Alex Ferguson (below) in the stands
Rooney 200
Katika mechi hiyo iliyochezeshwa na refa  Damir Skomina  wa Slovenia, Rooney alifunga dakika ya 22 na Bayer wakasawazisha kupitia kwa Rolfes dakika ya 54, kabla ya Van Persie kufunga la pili dakika ya  59, Rooney tena la tatu dakika ya 70 na Valencia dakika ya 79 kabka ya wageni kupata bao la pili dakika ya 88 kupitia kwa Toprak.
Kikosi cha Man Utd kilikuwa: De Gea, Smalling, Ferdinand, Vidic, Evra, Valencia, Carrick, Fellaini/Cleverley dk81, Kagawa/Young dk71, Rooney/Hernandez dk84 na Van Persie.
Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Toprak, Boenisch, Can, Reinartz, Rolfes, Sam/Kruse dk78, Kiessling/Derdiyok dk78 na Son/Benderdk 64.Uteuzi wa timu wa Moyes unamaanisha Ryan Giggs atasubiri sana kuongeza idadi ya mabao yake. 
Mkongwe huyo wa United, akiwa amebakiza miezi miwili kusherehekea kutimiza miaka 40, amefungana kwa na gwiji wa zamani wa Real Madrid, Raul katika kucheza mechi nyingi katika Ligi ya Mabingwa, wote 144). 
Na kwa kuwa Giggs hakuwepo hata benchi, kuna uwezaekano ikamchukua muda sana. Giggs na Raul wanafuatiwa na Paolo Maldini (mechi 140), Xavi (mechi 136), Clarence Seedorf (mechi 131), Paul Scholes (mechi 130) na Iker Casillas (mechi 129).

SIKU YA ROONEY...LAKINI GIGGS MAJANGA

Uteuzi wa timu wa Moyes unamaanisha Ryan Giggs atasubiri sana kuongeza idadi ya mabao yake. 
Mkongwe huyo wa United, akiwa amebakiza miezi miwili kusherehekea kutimiza miaka 40, amefungana kwa na gwiji wa zamani wa Real Madrid, Raul katika kucheza mechi nyingi katika Ligi ya Mabingwa, wote 144). 
Na kwa kuwa Giggs hakuwepo hata benchi, kuna uwezaekano ikamchukua muda sana. Giggs na Raul wanafuatiwa na Paolo Maldini (mechi 140), Xavi (mechi 136), Clarence Seedorf (mechi 131), Paul Scholes (mechi 130) na Iker Casillas (mechi 129).
What a finish: Robin van Persie (left) leaps to hook in a superb volley to restore United's lead
What a finish: Robin van Persie (left) leaps to hook in a superb volley to restore United's lead
What a finish: Robin van Persie (left) leaps to hook in a superb volley to restore United's lead
What a finish: Robin van Persie (left) leaps to hook in a superb volley to restore United's lead
Dutch of class: Van Persie salutes the Old Trafford crowd after his superb volleyed goal
Dutch of class: Van Persie salutes the Old Trafford crowd after his superb volleyed goalAt the double: Rooney clips his second goal of the night - and his 200th for United - over Leno
At the double: Rooney clips his second goal of the night - and his 200th for United - over Leno
History boy: Rooney leaps into the night sky after reaching his landmark 200th United goal
History boy: Rooney leaps into the night sky after reaching his landmark 200th United goal
Master blaster: Antonio Valencia hammers the ball into the net for United's fourth goal of the night
Master blaster: Antonio Valencia hammers the ball into the net for United's fourth goal of the night
All over bar the shouting: Van persie congratulates Valencia after his strike sealed the match
All over bar the shouting: Van persie congratulates Valencia after his strike sealed the matchStuck in: Marouane Fellaini (right) made his full debut for United on the big European stage
Stuck in: Marouane Fellaini (right) made his full debut for United on the big European stage
Heat Map: Where Fellaini touched the ball on his full debut for his new club
This heat map shows where Fellaini touched the ball on his full debut for his new clubConsolations: Simon Rolfes (above) and Omer Toprak (below) score for Leverkusen
Consolations: Simon Rolfes (above) and Omer Toprak (below) score for Leverkusen
Consolations: Simon Rolfes (above) and Omer Toprak (below) score for Leverkusen
Consolations: Simon Rolfes (above) and Omer Toprak (below) score for Leverkusen
Powered by Blogger.