ad

ad

BONGO FLEVA KUTOPIGWA KABISA SIKU YA LEO CLOUDS FM - TAMKO LA RUGE MUTAHABA.

                                                               RUGE MUTAHABA.
Mkurugenzi wa Clouds FM bwana Ruge Mutahaba leo amejibu tuhuma zilizokuwa zikitolewa na Lady Jaydee kupitia mitandao ya kijamii kwa siku kadhaa kwa kumshutumu kuharibu mziki wa kizazi kipya

Mkurugenzi wa Clouds FM bwana Ruge Mutahaba leo kaamua nyimbo za bongo fleva kutopigwa siku nzima kupitia Power Breakfast asubuhi ya leo,Kuonyesha kuwa hii ni redio ya watu binafisi wanaamua cha kufanya sio kupangiwa na mtu.


Powered by Blogger.