WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTOKO USIKU BAADA YA KUNYAKUWA TAJI LA UBINGWA WA 20.
Ni usiku wa saa 6, Chris Smalling na Phil Jones wakiongoza njia kuelekea Casino namba 235
Wayne Rooney kulia naye alikuwepo siku hiyo ya juzi usiku
Alex Buttner, Wayne Rooney na Michael Carrick ndani ya gari lao usiku
Rio Ferdinand na Anderson wakivinjali mitaa usiku wa saa 6
Robin Van Persie naye ndani ya msafara huo!!! ambaye ndiye aliyeiwezesha kunyakuwa ubingwa huo.
Chris Smalling akirudi kwenye vyumba vyao usiku huo na hapa ilikuwa mapema muda wa saa 4 kasorobo.
Rio Ferdinand na Anderson wakivinjali mitaa usiku wa saa 6
Post a Comment