ad

ad

Safari ya ubingwa Jangwani yakolea siku ya jana Yanga ilishinda mabao 3-0 JKT Oljoro.

Ushindi wa Yanga pia umeiondoa rasmi Simba kwenye mstari utetezi wa ubingwa wao, kwani hata kama watashinda mechi zilizobaki hawataweza kufikia pointi zilizokusanywa na Yanga mpaka sasa.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli lililofungwa na Simon Msuva dhidi ya JKT Oljoro katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jana. Yanga ilishinda mabao 3-0. 

Powered by Blogger.