Kenya: Changamoto zinazomkabili Rais Mteule Uhuru Kenyatta
Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta wakati huu anatazamwa kama kiongozi
anayekabiliwa na changamoto kadhaa katika uundaji wa serikali yake.
Hayo yametokea baada ya hapo Jumamosi, Mahakama ya Juu ya nchi hiyo
kuamua kuwa yeye ndiye mshindi halali wa kiti cha urais wa taifa hilo na
kulitupilia pingamizi la mpinzani wake Raila Odinga. Kutoka mjini
Nairobi Sudi Mnette amezungumza na mchambuzi wa siasa za Kenya, Profesa
Chacha Nyaigoti Chacha, kuhusiana na matarajio ya serikali mpya ya Kenya
chini ya Uhuru Kenyatta. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya
spika za masikioni hapo chini.

Post a Comment