LINAH, AMINI WAFUNGUA UKURASA MPYA WA PENZI LAO.
Picha hiyo inayowaonesha wawili hao wakiwa ndani ya gari huku
mwanadafada akimbusu Amini, imedakwa juzikati katika mtandao wa BBM,
ambapo wadau wanaotumia mtandao huo waliwapongeza kwa kurudiana.
Chanzo chetu kilimtafuta Linah, alipopatikana alijibu kwa kifupi kwamba hana
tatizo na Amini hivyo yupo huru kwa lolote mbele yake na wanafanya naye
kazi kwa karibu.
Kwa upande wake Amini, alipoulizwa juu ya ishu hiyo alitiririka: “Linah ni mtu wangu hivyo sina ubaya naye kwa kila kitu hatujawahi kugombana wala
Kwa upande wake Amini, alipoulizwa juu ya ishu hiyo alitiririka: “Linah ni mtu wangu hivyo sina ubaya naye kwa kila kitu hatujawahi kugombana wala

Post a Comment