Usiku wa juzi kuamkia jana, Rapa Ney wa mitego, alipata ajali mbaya ya gari maeneo ya Oysterbay
Usiku
wa juzi kuamkia jana, Rapa Ney wa mitego, alipata ajali mbaya ya gari
maeneo ya Oysterbay jijini Dar na mguu wake ukshtuka kidogo, ila rafiki
yake aliekuwa nae, ameumia kichwani na jana ndio aliruhusiwa kutoka
hospitaliajali hiyo ilitokea maeneo ya mataa ya St Peters,
alipokuwa akitokea masaki kuelekea moroko, na baada ya mataa yake
kumruhusu kupita, alikutana na Lori lililokuwa likitokea Mjini kuelekea
Moroko pia, likiwa halina taa na kumvaa kwa nyuma na kupelekea gari lake
kuingia mtaroni na kuharibika vibaya



Post a Comment