MATOKEO YA MECHI ZA LA LIGA YANAPANGWA - ASEMA MAKAMU WA RAISI WA LA LIGA
Javier Tebas,
makamu wa raisi wa Liga de
Futbol Profesional (LFP), anaamini kwamba kuna mchezo wa upangaji
matokeo kwenye La-Liga, na anaogopa skendo iliyowahi kuikumba Serie A
maarufu kama Scommessopoli ipo njiani kuja kwenye ligi kuu ya Hispania.
Tebas ana mashaka kwamba kuna matokeo ya baadhi ya mechi yanapangwa, lakini anakiri kwamba anakosa ushahidi wa kutetea tuhuma zake.
"Mechi zinauzwa kwenye La Liga na wanaofanya mambo hayo inabidi waekwe hadharani," makamu huyo wa raisi wa LFP amesema kwenye mahojiano na Onda Cero.
"Kwa bahati mbaya nashindwa kutoa uthibitisho, lakini matokeo ya mechi yanapangwa nchni Hispania. Naona ile skendo ya ibu iliyotokea Italy ikija hapa kwetu."
Tebas ana mashaka kwamba kuna matokeo ya baadhi ya mechi yanapangwa, lakini anakiri kwamba anakosa ushahidi wa kutetea tuhuma zake.
"Mechi zinauzwa kwenye La Liga na wanaofanya mambo hayo inabidi waekwe hadharani," makamu huyo wa raisi wa LFP amesema kwenye mahojiano na Onda Cero.
"Kwa bahati mbaya nashindwa kutoa uthibitisho, lakini matokeo ya mechi yanapangwa nchni Hispania. Naona ile skendo ya ibu iliyotokea Italy ikija hapa kwetu."

Post a Comment