ARSENAL, MAN UNITED ZAANGUSHA MOJA MOJA FA CUP
ARSENAL na Manchester United, zimefanikiwa kuingia raundi ya 4 ya kombe la FA baada kila moja kuibuka na ushindi wa 1-o.
Jack
Wilshere aliifungia Arsenal bao pekee dhidi ya Swansea katika dakika ya
86 huku Wyane Rooney aliyerejea uwanjani akiifungia Manchester United
dakika ya 9 dhidi ya West Ham.
Jack Wilshere baada ya kufungia Arsenal bao
Rooney akichanja mbuga kwenda kufunga goli
Rooney akishangia na wenzake baada ya kuifungia Man Utd
Arsenal iliyokuwa nyumbani iliwasilishwa na Szczesny
6, Diaby 6 (Ramsey 6), Sagna 7, Mertesacker 6, Vermaelen 6, Wilshere 8,
Giroud 5, Walcott 6, Cazorla 6, Coquelin 6, Gibbs 6.
Manchester
United ambayo nayo ilikuwa nyumbani iliwakilishwa na Lindegaard 6,
Rafael 7, Buttner 7, Smalling 7, Jones 6, Valencia 6, Anderson 6
(Carrick 6), Giggs 8, Nani 6 (Scholes 6), Hernandez 7, Rooney 7.
Post a Comment