ad

ad

AMANDA POSHY AMCHARUKIA MWANAMKE MWENZAKE ALIYEMTONGOZA

MSANII mwenye jina kubwa katika tasnia ya filamu, Amanda Poshy amemjia juu mwanamke mwenzake aliyemtongoza kuhusu ngono ya jinsia moja.
Amanda ameiambia Saluti5 jana jioni kuwa mwanamke huyo anayejiita Vicky Maya alimtumia ujumbe kupitia facebook na kumuuliza kama wanaweza kushiriki tendo la jinsia moja.
Amanda Poshy
“Simjui huyo mwanamke, aliniomba urafiki kwenye facebook nikampokea, matokeo yake ananiletea mambo ya kishenzi ya kusagana, nimempa vipande vyake asifikiri kila mtu ni mshenzi” alisema kwa hasira Amanda.
Kama vile hiyo haitoshi jana usiku Amanda akaamua kumuanika mwanamke huyo kwenye ukurasa wake wa facebook kwa kuandika: “VICKY MAYA naomba ujiheshimu....me nina mtu wng na najiheshimu tena ninaheshimika kwenye jamii iliyonizunguka.....huo upuuzi wako unaoniandikia inbox kuhusu kusagana me sisagani katafute wacyojiheshimu wenzio kama ww uwaambie upuuzi kama huo.......tuheshimiane”.
Vicky Maya
Amanda alisema mwanamke huyo kwenye wasifu wake amejitambulisha kama binti aliyezaliwa 5 Machi 1988, mkazi wa Masaki Dar es Salaam.
                                 Via saluti 5 - Tanzania

Powered by Blogger.