ad

ad

TRA Yakusanya Zaidi Ya Trilioni 7.87 Kwa Kipindi Cha Nusu Mwaka 2017/2018


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeeleza kuwa, katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Disemba, 2017, imekusanya jumla ya shilingi trilioni 7.87, ikilinganishwa na shilingi 7.27 zilizokusanywa katika kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha wa 2016/17.

No comments

Powered by Blogger.