Lowassa atajwa kuwa mmiliki wa CHADEMA
Msukuma
amedai kwamba, Mbowe ambaye anaaminiwa kuwa ni Mwenyekiti wa
CHADEMA tayari alikwishauza chama kwa Lowassa muda mrefu ndiyo maana
hana sauti ya kumuwajibisha.
Aidha Msukuma hajaishia hapo ambapo pia amemtaka Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho aoneshe nguvu yake ndani ya chama kwa kumwambia Lowassa aombe radhi na siyo waombane wao kwa wao kwani kutakuwa ni kuwapumbaza wanachama na wafusi wao bali hadharani watu waone.
"Lowassa ndiye mwenye Chama. Wewe mbowe uliuza chama sasa wewe kama msemaji toa kauli ya kumfukuza chama Lowassa. Tunashangaa kuanza kuchafuliwa kwa mtu ambaye mlituaminisha kuwa anafaa kuwa Rais. Muite Lowassa umhoji mitandaoni tuone akikuomba radhi. Na hata akikuomba radhi sasa hivi tutajua siyo kwa mapenzi yake," Msukuma.
Ameongeza kuwa, "Mbowe kusema kuwa Lowassa alikurupuka ni kumkosea adabu kwanza, Lowassa ni mtu mzima kwake na yeye bado ni kijana. Na ninaamini kwamba wewe Mbowe Lowassa hakuombi msamaha kwa kuwa yeye ndiye mmiliki".
Aidha Msukuma hajaishia hapo ambapo pia amemtaka Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho aoneshe nguvu yake ndani ya chama kwa kumwambia Lowassa aombe radhi na siyo waombane wao kwa wao kwani kutakuwa ni kuwapumbaza wanachama na wafusi wao bali hadharani watu waone.
"Lowassa ndiye mwenye Chama. Wewe mbowe uliuza chama sasa wewe kama msemaji toa kauli ya kumfukuza chama Lowassa. Tunashangaa kuanza kuchafuliwa kwa mtu ambaye mlituaminisha kuwa anafaa kuwa Rais. Muite Lowassa umhoji mitandaoni tuone akikuomba radhi. Na hata akikuomba radhi sasa hivi tutajua siyo kwa mapenzi yake," Msukuma.
Ameongeza kuwa, "Mbowe kusema kuwa Lowassa alikurupuka ni kumkosea adabu kwanza, Lowassa ni mtu mzima kwake na yeye bado ni kijana. Na ninaamini kwamba wewe Mbowe Lowassa hakuombi msamaha kwa kuwa yeye ndiye mmiliki".
Post a Comment