Mzungu Kumbadili Dini Sasha, Wadaiwa Kufunga Ndoa Hivi Karibuni.
Sasha Kassim
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mwanadada huyo japo anaipenda dini yake, amelazimishwa kumfuata Mzungu huyo vinginevyo ndoa itaota mbawa.
Alipotafutwa Sasha alikataa kuhusu kumfuata Mzungu huyo; “Tumevutana sana lakini kwa kweli mimi ni ngumu, atanifuata yeye tu naamini.”

Post a Comment