ad

ad

Magufuli Ahudhuria Misa Kanisa Kuu Katoliki Dodoma Leo

Rais  Magufuli akisalimia na waumini baada ya ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu la Matakatifu Paulo wa Msalaba la Jimbo Kuu la Katoliki la Dodoma leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jonh Pombe Magufuli amewaomba viongozi wa madhehebu yote na dini kuendelea kuliombea Taifa, huku akiwaahidi kupata ushirkiano kutoka kwa Serikali yake.

Rais ameyasema hayo leo kwenye Ibada iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo Kuu Katoriki la Dodoma.

"Nawaomba viongozi wa madhehebu yote ya dini tuendelee kuliombea Taifa letu liwe na amani na upendo na Serikali itashirikiana nanyi muda wote", imeeleza taarifa kutoka Ikulu.

Taarifa ya Ikulu.

No comments

Powered by Blogger.