Lema Ahudhuria Mazishi ya Mbwa wa Nassari
Mbunge
wa Arusha Mjini, Godbless Lema (aliyeshikilia mbwa kushoto) akishiriki
na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (kulia) kumwombea mbwa
huyo kabla ya kumzika kwenye kaburi lake lililo mbele. Mbwa huyo
alipigwa risasi na watu wasiojulikana baada ya kuvamia nyumba ya Nassari
usiku kuamkia jana.
Mbwa huyo aliyekufa baada kupigwa risasi.
Mwonekano wa karibu wa jeraha baada ya risasi kumwingia mbwa huyo.
Mazishi hayo yamefanyika huko huko Arumeru.Mbwa huyo alikuwa ni mlinzi wa Nassari nyumbani kwake ambapo amesikitishwa na kifo cha mnyama huyo aliyekuwa rafiki wake wa karibu.



Post a Comment