Heee! Eti Wolper Amenunua Jino Mil.6

HII ikufikie wewe mpenda ubuyu kuwa, lile jino la shaba ‘silva’ la staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe lililoleta gumzo mitandaoni, mwenyewe amelifungukia kuwa, limemgharimu kiasi cha dola elfu 3 za Kimarekani (zaidi ya Sh. Mil.6 za Kibongo).

“Watu wanaongea tu bila kujua. Pengo hili nimelipandia ndege kwa makusudi na kwa taarifa yao tu hili jino la silva nililoliweka limenigharimu dola elfu 3 (Mil.6),” alisema Wolper.
Post a Comment