ad

ad

Video: Maswali na Majibu Kwa Waziri Mkuu Bungeni Leo Nov 9, 2017





KATIBA: Waziri Mkuu leo amesema vipaumbele vya serikali ya awamu ya tano ni kuboresha maisha ya Watanzania kupitia huduma bora.

VURUGU UKONGA: Waziri Mkuu amesema tukio la askari kuwapiga wananchi wa Ukonga, Dar, linashughulikiwa na serikali na hatua stahili zitachukuliwa.

BUNGENI: Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo ameuliza swali Waziri Mkuu Majaliwa kuhusu hatua gani wamechukua juu ya kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

BUNGENI: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema matukio ya mauaji yanayoendelea nchini yanashughulikiwa na serikali.

BUNGENI: Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemuoji Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa juu ya sabaabu za kukamatwa viongozi wa Chadema.

No comments

Powered by Blogger.