ad

ad

Simba Yashindwa Kuifunga Nyundo FC Ya Katavi Watoka 0-0

 Mchezo wa kirafiki kati ya Nyundo FC ya Katavi dhidi ya Simba SC, uliopigwa ndani ya Uwanja wa Azimio uliopo Mpanda, Katavi jioni ya leo, umemalizika kwa timu hizo mbili kutofungana.








No comments

Powered by Blogger.