Odama: Nitazaa Tena Baada Ya Miaka Saba
[caption id="attachment_168545" align="aligncenter" width="640"]

Akizungumza na Risasi Jumamosi Odama alisema kwa hivi sasa vyuma vimekaza hivyo lazima kuzaa kwa mpangilio ili watoto wapate elimu bora na malezi mazuri.
“Kwa kweli mimi ikinipendeza nitaongeza mtoto baada ya miaka saba maana maisha ya sasa ni kujipanga sana,” alisema Odama.
Post a Comment